Majimbo mapya ya uchaguzi Zanzibar, Eng Mnyaa hatihati

Majimbo mapya ya uchaguzi Zanzibar, Eng Mnyaa hatihati

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,456
Reaction score
1,569
Tume ya uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefanya mabadiliko ya majimbo ya uchaguzi.

Katika mabadiliko hayo Wilaya ya MKOANI mkoa wa Kaskazini Pemba imejikuta imebaki na majimbo (4) badala ya (5) ya awali.

Awali kulikua na majimbo ya MKOANI, KIWANI, CHAMBANI, MTAMBILE na MKANYAGENI (Jimbo la Mnyaa).

Baada ya mabadiliko hayo jimbo la MKANYAGENI limefutwa na kubakia (4). Kazi kwake Mhe. Mnyaa.
 
Hivi kweli zanzibar ina deserve kuwa na Majimbo ya uchaguzi 54?

Kwenye bunge linalomalizika walikua na majimbo 50 naona sasa wameongeza mengine 4
 
mnyaa ni lulu ya taifa,mnyaa ni sawa na wabunge 25 wa ccm
 
mnyaa ni lulu ya taifa,mnyaa ni sawa na wabunge 25 wa ccm

ha ha ha ha ha ha Unajua kama katika kura ya maoni wapigakura wake walimpa nafasi ya pili. Wamemchoka. Labda Mnyaa mmoja ni sawa na mjumbe mmoja wa nyumba 10
 
Sasa kwanini mkoa wa kazkazini pemba wapunguze kutoka 5 kuwa 4?

Ni hesabu rahisi sana mkuu watu walipoongezeka majimbo yamegawanywa sasa yalipopunguzwa inamaana watu wamepungua. Wote si wanahamia Dar na Unguja.
 
Ndio yaliyojili hivi punde
 

Attachments

  • 1436511114307.jpg
    1436511114307.jpg
    64 KB · Views: 235
Mkuu wametoa sababu kwa ugawaji wote ni ongezeko la watu.

Na ongezeko jilo lipo Upande wa Unguja tu ? Tena mashamba ? Yaani wapemba wale wenye wake watatu watatu wao kila siku wanapungua, majimbo pemba yalianza 25 Yakaja 22 then 20 sasa 18... Hivi kweli watu wa pemba wanapungua ?
Ukweli watu wa huko ni wengi zaidi na wanazaa sana kwani hali zao kimaisha ni bora mara zaid kuliko wa unguja..ukichukulia watu wa mashamba...
Hizi ni mbinu za ccm na tume yao...haya wafanyayo yana mwisho..kwani lengo lao kuu ni udalali...kuiza znz almradi wao wanapata kula yao
 
Ni hesabu rahisi sana mkuu watu walipoongezeka majimbo yamegawanywa sasa yalipopunguzwa inamaana watu wamepungua. Wote si wanahamia Dar na Unguja.

Mkuu watu hawapungui,ila tu ni maandalizi ya kufunga goli la mkono..
 
Idadi ya watu.
Kama mnataka kujua watu Nchi wanazaana basi njoo Zanzibar.

Ni Sawa kuyagawa,sijaona tofauti,kama ni msindi ni mshindi tu.
 
Hayaa ni maajabu ya dunia. kupunguza majimbo kisa tu fulani asirudi ubunge?

Tume ya uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefanya mabadiliko ya majimbo ya uchaguzi.

Katika mabadiliko hayo Wilaya ya MKOANI mkoa wa Kaskazini Pemba imejikuta imebaki na majimbo (4) badala ya (5) ya awali.

Awali kulikua na majimbo ya MKOANI, KIWANI, CHAMBANI, MTAMBILE na MKANYAGENI (Jimbo la Mnyaa).

Baada ya mabadiliko hayo jimbo la MKANYAGENI limefutwa na kubakia (4). Kazi kwake Mhe. Mnyaa.
 
Hivi MKOANI ni Kaskazini ama Kusini Pemba!???
Utata wa hii habari...
 
Tume ya uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefanya mabadiliko ya majimbo ya uchaguzi.

Katika mabadiliko hayo Wilaya ya MKOANI mkoa wa Kaskazini Pemba imejikuta imebaki na majimbo (4) badala ya (5) ya awali.

Awali kulikua na majimbo ya MKOANI, KIWANI, CHAMBANI, MTAMBILE na MKANYAGENI (Jimbo la Mnyaa).

Baada ya mabadiliko hayo jimbo la MKANYAGENI limefutwa na kubakia (4). Kazi kwake Mhe. Mnyaa.

Hapo dawa ni kuwafuata huko huko Unguja! Hapa ndo tujue hizi tume zipo kulinda maslahi ya ccm!
 
Back
Top Bottom