Majimbo haya UKAWA watashinda mapemaa



WEWE KWELI MKIWA na VILOBA VINAKUSUMBUA...MWANZA MJINI NDIO JIMBO GANI HILO......
 
WEWE KWELI MKIWA na VILOBA VINAKUSUMBUA...MWANZA MJINI NDIO JIMBO GANI HILO......

Yaani wachafuzi wa lugha mnanikera.. ukijua tofauti ya L na R ndo nitakujibu..
 
 

Ubungo, Kawe na Kibamba SAHAU hampati!
Arusha Mjini uchaguzi umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa ACT
Mwanza Mjini hakuna jimbo kama hilo ni Ilemela na Nyamagana.
 
Ubungo, Kawe na Kibamba SAHAU hampati!
Arusha Mjini uchaguzi umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa ACT
Mwanza Mjini hakuna jimbo kama hilo ni Ilemela na Nyamagana.

Tulia dawa ikuingie barabara, umeshindwa kumtimizia mwenzio haki yake ya ndoa kwa kelele hizi !!
 

Tarime
Bunda
Musoma mjini
Kahama
Nyamagana
Ilemela
Mbulu vijijini
Mlimba
Babati mjini
Simanjiro
Nk
 
Jimbo la Tunduma( mbozi magharibi) 'Momba kwa David Silinde nako kweupe anashinda asubuhi kweupe
 


1.rombo
2.mpwapwa
 

na dodoma mjini
 

1.Mikumi
2.Mtwara mjini (cuf)
3.Ndanda
 
Arumeru masharik na magharibi
 
Kwa upande wa Kusini kuna

Mtama
Tandahimba
Masasi (japokuwa uchaguzi umesogezwa mbele)
Ndanda
Mtwara vijijini
Lindi mjini
Liwale
Nachingwea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…