TANDAHIMBA IMENIUMA,
Katani Ahamadi katani mgombea wa CUF amepigwa na kuvunjwa mguu na mkono pamoja na mbavu....
Alishinda kwa kishindo, CCM wakabadilishwa!!!!!
Tuwe makini. Haina maana huyo jamaa anyejiita Mzitokabwela ni zito kabwe. Anaweza kutumia hilo jina makusudi kisha kuongea maneno mabaya hapa ionekane hayo ni maneno ya Zito. We need 2 b careful kung'amua ujanja huo kama umekusudiwa.