Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Each state must get 25,000 signatures by Dec 10, 2012 to be considered by President Obama. Is it another USSR breaking down?
View attachment 71096
Currently, the most popular petition is from Texas, which voted for Mr Romney by some 15 percentage points more than it did for the Democratic incumbent.
In total, more than 20 petitions have been filed. One for Texas has reached the 25,000-signature threshold at which the White House promises a response.
Source: BBC News - US election: Unhappy Americans ask to secede from US
==================================================================================================
Ngoja tuone ikulu ya Marekani itajibu nini kuhusu petition hizi.
Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.
Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.
mwisho wa dunia
Nearly half of the US threatens to secede
Get short URL
email story to a friend print version
Published: 12 November, 2012, 23:55
TAGS:
Scandal, Politics, History, USA
Reuters / Chris Keane
As the saying goes: if you cant beat em, join em. Some Americans upset with the results of Election Day dont quite agree, and now residents from 20 states have filed petitions with the White House to secede from the country.
Louisiana became the first of the (as of now) 50 united states that managed to collect enough signatures to have their petition for secession added to the White Houses website last week, and so far theyve had no problem finding company. A petition asking for the government to Peacefully grant the State of Louisiana to withdraw from the United States of America and create its own NEW government garnered more than 14,000 signatures since going live on November 7, and so far 19 other states have managed to attract similar success.
According to the terms of participation on WhiteHouse.gov, the website for the executive branch of the United States will make any petition searchable if it can collect 150 signatures within one months time, and collecting 25,000 signatures will necessitate an official response. So far Texas seems to be in the running to be the first state to receive a response from the commander-in-chief, with 21,777 signees asking for secession since their petition went live on November 9, barely 48 hours after US President Barack Obama claimed a victory in his bid for re-election.
In all, 20 states have so far broken the 150 signature threshold, mostly sticking closely to the script included in the first petition published by Michael E of Slidell, LA, who quotes the Declaration of Independence in his plea to once again separate the public from a power that, according to thousands of residents, doesnt represent what is best for the people anymore.
"When in the Course of human events, it becomes necessary for one people to dissolve the political bands which have connected them with another, and to assume among the powers of the earth, the separate and equal station to which the Laws of Nature and of Nature's God entitle them, a decent respect to the opinions of mankind requires that they should declare the causes which impel them to the separation, Michael writes. " Governments are instituted among Men, deriving their just powers from the consent of the governed, that whenever any Form of Government becomes destructive of these ends, it is the Right of the People to alter or abolish it, and institute new Government "
In the case of Florida, where 6,271 signees have added their names between November 10 and November 12, the creator called on a quip from founding father Benjamin Franklin to explain his motives, quoting him as saying, They who can give up essential liberty to obtain a little temporary safety, deserve neither liberty nor safety.
Scott E of Columbia Falls, MT also quoted Mr. Franklin in creating a petition that asks for the peaceful secession of Montana, adding that residents there do see that in today's world the Federal Government has not led our citizens justly and with honor. In just two days, that petition has been signed more than 4,000 times.
In the Lone Star State, only 3,000 or so Texans are needed to cross that 25,000 threshold. According to their petition started by Arlington, TXs Micah E, The US continues to suffer economic difficulties stemming from the federal government's neglect to reform domestic and foreign spending.
Given that the state of Texas maintains a balanced budget and is the 15th largest economy in the world, it is practically feasible for Texas to withdraw from the union, and to do so would protect its citizens' standard of living and re-secure their rights and liberties in accordance with the original ideas and beliefs of our founding fathers which are no longer being reflected by the federal government, he writes, adding that the National Defense Authorization Act (NDAA) and Transportation Security Administration (TSA) have blatantly abused the civil rights of Texans and other Americans, and cessation could be the only solution.
Should the threats of secession materialize past a flash in the pan on the White Houses website, the United States is likely to have a new addition sooner or later anyway. On Nov. 6, voters in Puerto Rico elected to petition US Congress for statehood, putting them on track to perhaps becoming the fifty-first member of the union.
The states that have so far accumulated more than 150 signatures on WhiteHouse.gov include Alabama, Arkansas, Colorado, Florida, Indiana, Kentucky, Louisiana, Michigan, Mississippi, Montana, New Jersey, New York, North Carolina, North Dakota, Oregon, Tennessee and Texas. Georgia, Missouri and South Carolina have all crossed the 150 mark on two separate petitions posted online.
Angalia website ya White House, kwenye web page ya petitions, utaziona petition zote hizo, na watu wameshaanza ku-sign hizo petitions.
Kwa wenzetu marekani, democrasia imekomaa.
Tembelea : https://petitions.whitehouse.gov/petitions
Ni kweli democrasia iko juu huko, swali ninalojiuliza hasa nikizingatia kusambaratika kwa Urusi, Je marekani nao watapigana vita?
Kwasababu kugawanyika si suala jepesi na rahisi kama linavyojadiliwa na kuchukuliwa hapa jamnvin. Pamoja na kusaini nk bado
safari ni ndefu sana kushabikia jambo hilo na ufanisi wa mgawanyiko huo bado kitendawili kilicho na majibu mepesi namengi ya
hayo majibu zaidi zaidi niyakufikirika.
Hii habari lazima utakuwa umeitoa redio imani au kiojarida cha al nuur
Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.
Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.
Mara ya mwisho lilipotokea jambo kama hili la kujitenga kwa majimbo Marekani, kulitokea vita.
Sijui safari hii itakuwaje ??
Angalia hapa....
The South Secedes
and The Civil War Begins
by GeorgeWhen Abraham Lincoln was elected as president in 1860. Southerners thought the government was becoming too strong. They did not think the government had the right to tell them how they should live. Southerners felt if they stayed in the United States, the North would control them.
Some southern states decided they had no choice. They decided to secede, or leave, the United States. South Carolina was the first to leave the Union and form a new nation called the Confederate States of America. Four months later, six other states seceded. They were Georgia, Florida, Alabama, Mississippi, Texas and Louisiana. Later Virginia, Arkansas, North Carolina, and Tennessee joined them. The people of these states elected Jefferson Davis as president of the Confederacy.
The northern states were called the Union. President Lincoln said he would fight to keep the southern states as part of the United States. There were Union forts on Confederate land. The Confederates wanted Union soldiers to leave these forts. In Charleston, South Carolina there was a Union fort called Fort Sumter. The Union soldiers refused to leave this fort, so the Confederates fired cannons at the fort on April 12, l861. This was the beginning of the Civil War.
Nimeangalia mkuu, nini mtazamo wako? maana siioni hiyo vita kwa mtazamo wangu kwa muda wa hivi karibuni!!!!!
Kama kweli, majimbo hayo yatakomalia maamuzi yao ya kujitenga, vita italipuka.
Kwa nini:-
- sio watu wote kwenye majimbo hayo wataunga mkono kujitenga
- majimbo karibu yote yanayotaka kujitenga yana idadi kubwa ya wazungu wenye msimamo mkali, hivyo watajaribu kuwafurusha wasio wazungu
- majombo mengine ambayo yatabaki kwenye muungano hayatakubali kwa sababu majimbo yatakayojitenga yataondoka na utajiri wao
- kujitenga kwa majimbo machache kunaweza kuchochea kujitenga kwa majimbo mengine zaidi
Hii habari lazima utakuwa umeitoa redio imani au kiojarida cha al nuur
Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.
Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.