Majimbo 19 marekani yaomba kujitenga

Currently, the most popular petition is from Texas, which voted for Mr Romney by some 15 percentage points more than it did for the Democratic incumbent.
In total, more than 20 petitions have been filed. One for Texas has reached the 25,000-signature threshold at which the White House promises a response.
Source: BBC News - US election: Unhappy Americans ask to secede from US

==================================================================================================
Ngoja tuone ikulu ya Marekani itajibu nini kuhusu petition hizi.
 
Each state must get 25,000 signatures by Dec 10, 2012 to be considered by President Obama. Is it another USSR breaking down?

View attachment 71096


Chash,
Usuwadanganye wanamtandao, kujitenga kutoka kwenye Muungano wa USA ni kinyume cha katiba therefore kinyume cha sheria, na waliojaribu kufanya hivyo kwa kutumia mtutu miaka ya 1860s walishindwa na ikawa ndio mwisho wa hilo jaribio.

Petition zinazoandikwa na watu ni za kujifurahisha roho tu hasa kwa wale walioshindwa uchaguzi. Lakini hazina uzito wowote kisheria, kwa hiyo wale wanaofikiri USA itakuwa kama USSR watakuwa wanajidanganya kwani Muungano wa USA haukuwa wa kulazimishana kama USSR na sheria yake hairuhusu kujitoa kwa petition au hata kwa mtutu. Ukishaingia kwenye ndoa ya USA, hakuna talaka.
 

Mu-Israel,
White house ina-respond tu lakini sio kuwa ina-solution. Muungano sio suala la Rais ni suala la katiba. Katiba hairuhusu kwa hiyo hiyo ndio sheria.
 
ECCLESESTIES 3:1-8
maneno matakatifu yanasema "EVERY THING HAS ITS TIME"
A time to be BORN and a time to DIE
A time to PLANT and a time to PLUNK
A time to WAR and a time of PEACE
 

Tusubirie jibu kutoka kwa Obama. Kwenye katiba ya marekani ipo kwamba ikifika siku katiba itakuwa haifai jimbo lolote na ibainike wengi kwenye hilo jimbo watakuwa wamekubali kujitenga kwa sababu za msingi basi litaruhusiwa kutoka kwenye muungano. Usishangae hii ikitokea kuwa chanzo cha Obama kulazimishwa kujiuzulu.
 
Wajitenge kabisa!!! Hongera Afri-Americans na Hispanics!!! Zaeni muongeze dunia na mwishowe mtaitawala marekani milele!! Si waliwatesa na kuwanyanyasa sana enzi zile mkiwa minority? Weupe endeleeni kuzaa mtoto mmoja au msizae kabisa,, na muendelee kuwa minority mpaka ifike mahali nanyi muanze to fight for minority kama walivyofanya waamerika weusi na wasio wateule wa marekani!!! Ila pia Obama alichaguliwa na wazungu wengi tu mbona? Naona haoa wana lao jambo!! Uamsho ziko kila pande za dunia! Obama ongeza hizo green cards, badala ya 50,000 weka 500,000 kila mwaka!!! Na wakiishi kwa nidhamu miaka 5 fanya full citizen!!! Au wenye kujua sheria zake ukishapata green card uko eligible to vote immediately? Mtujuze!!
 
I too sing America

i am the darker brother
They send me to eat in kitchen
when company comes
But i laugh
And eat well
And grow strong
Tomorrow
i will be at the table
When company comes
Nobody will dare
say to me
"Eat in the kitchen" then
Besides,
They will see how beatyful i am
and be ashamed.......
I too am America.
(Poem by American poet Langstone Hughes.) Obamas re election defining moment American political history, things will never be same again.
 
Wakuu,
The situation is very perplexing that more and more American citizens are petitioning the White House to release their states from the holy union. What is this all about?, is it in anyway or form related to the just ended presidential election?

Pls'e continue....:A S 114:

 
You will never find this in mainstream media,...the CNN, BBC, Al Jazeera and the like even ..Also .Debka will not let you know this issue.
 
Angalia website ya White House, kwenye web page ya petitions, utaziona petition zote hizo, na watu wameshaanza ku-sign hizo petitions.
Kwa wenzetu marekani, democrasia imekomaa.
Tembelea : https://petitions.whitehouse.gov/petitions


Ni kweli democrasia iko juu huko, swali ninalojiuliza hasa nikizingatia kusambaratika kwa Urusi, Je marekani nao watapigana vita?

Kwasababu kugawanyika si suala jepesi na rahisi kama linavyojadiliwa na kuchukuliwa hapa jamnvin. Pamoja na kusaini nk bado

safari ni ndefu sana kushabikia jambo hilo na ufanisi wa mgawanyiko huo bado kitendawili kilicho na majibu mepesi namengi ya

hayo majibu zaidi zaidi niyakufikirika.
 

Mara ya mwisho lilipotokea jambo kama hili la kujitenga kwa majimbo Marekani, kulitokea vita.
Sijui safari hii itakuwaje ??

Angalia hapa....

The South Secedes
and The Civil War Begins

by George
When Abraham Lincoln was elected as president in 1860. Southerners thought the government was becoming too strong. They did not think the government had the right to tell them how they should live. Southerners felt if they stayed in the United States, the North would control them.
Some southern states decided they had no choice. They decided to secede, or leave, the United States. South Carolina was the first to leave the Union and form a new nation called the Confederate States of America. Four months later, six other states seceded. They were Georgia, Florida, Alabama, Mississippi, Texas and Louisiana. Later Virginia, Arkansas, North Carolina, and Tennessee joined them. The people of these states elected Jefferson Davis as president of the Confederacy.
The northern states were called the Union. President Lincoln said he would fight to keep the southern states as part of the United States. There were Union forts on Confederate land. The Confederates wanted Union soldiers to leave these forts. In Charleston, South Carolina there was a Union fort called Fort Sumter. The Union soldiers refused to leave this fort, so the Confederates fired cannons at the fort on April 12, l861. This was the beginning of the Civil War.
 
Hii habari lazima utakuwa umeitoa redio imani au kiojarida cha al nuur

Kwa hiyo utaki kuamini ulivyokuwa mtumwa wa kiakili umeamua kuwasingizia radio imaan.
 


KATIBA siyo MSAHAFU mkuu..
 

Nimeangalia mkuu, nini mtazamo wako? maana siioni hiyo vita kwa mtazamo wangu kwa muda wa hivi karibuni!!!!!
 
Nimeangalia mkuu, nini mtazamo wako? maana siioni hiyo vita kwa mtazamo wangu kwa muda wa hivi karibuni!!!!!

Kama kweli, majimbo hayo yatakomalia maamuzi yao ya kujitenga, vita italipuka.
Kwa nini:-
  • sio watu wote kwenye majimbo hayo wataunga mkono kujitenga
  • majimbo karibu yote yanayotaka kujitenga yana idadi kubwa ya wazungu wenye msimamo mkali, hivyo watajaribu kuwafurusha wasio wazungu
  • majombo mengine ambayo yatabaki kwenye muungano hayatakubali kwa sababu majimbo yatakayojitenga yataondoka na utajiri wao
  • kujitenga kwa majimbo machache kunaweza kuchochea kujitenga kwa majimbo mengine zaidi
 

Kwenye rangi mkuu.

Kwa mtazamo wa harakaharaka kwa miaka inavyokwenda wazungu wamekuwa makini sana kupigana wao kwa wao hivyo hatakama watakuwa na mgogoro naamini watatatua kidipromasia siamini watakurupuka kama huku kwetu Afrika kuingia vitani nahivyo naondoa uwezekano huo kwa miaka ya karibun labda hapo baadaye.
 
Hii habari lazima utakuwa umeitoa redio imani au kiojarida cha al nuur

Huko sahihi kabisa kwani amezitoa kwenye gazeti linalofanana na hizo media ulizozitaja linaitwa 'Habarileo' toleo la tarehe 14 Novemba 2012, toleo namba 02155.
 
Kwa habari nilizonazo hadi sasa hivi ni kuwa, kuna kundi kubwa la watu na nafikiri na wao wameshafikisha tayari idadi ya watu 10,000 wanafanya Petition ili hao walioanza Petition ya kujitenga - WANYAN'GANYWE URAIA.

Strip the Citizenship from Everyone who Signed a Petition to Secede and Exile Them
Mr. President, please sign an executive order such that each American citizen who signed a petition from any state to secede from the USA shall have their citizenship stripped and be peacefully deported.'
Soma hapa: Union Forever! Anti-Secession Petitions Gaining Clicks, Too - ABC News

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…