Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,766
imefungwa wapi mbona me nafungua now kama kawaida not aproved
Angalau ume-comment ili watu wafahamu kuwa upo!
imefungwa wapi mbona me nafungua now kama kawaida not aproved
Muda wowote TCU kuachia majina.
Muda wowote TCU kuachia majina.
Ndio maana hizi zinaitwa tetesi ni uwongo mtupi niko net hapa hamna dalili yoyote wala tangazo lolote kutoka tcu kwa hiyo wenye tumbo joto kama mm tuendelee kuvuta subira tetesi kama hizi ni umbeya tu sawa jamani!!