Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Membe Kasema mchango wa Tanzania kwa ishu ya Libya ni kupitia Au,na si Tanzania individually
Kasema bado anasizitiza kwamba Msimamo wa Tanzania na Uganda ni kutaka kuitishwe kikao cha dharura,ofcorse ya Uganda nilisikia na kuisoma.Vipi Matamshi yetu sisi wizara ya mambo ya Nje ilitolea wapi?mwenye tamko hilo jamani naomba aliweke hapa
Pia,kasema kwamba AU ilishindwa kutoa msimamo au kuchukua hatua kutatua mgogoro wa Libya ati kwa kuwa imposed 'no-fly zone' ilikuwa kikwazo kwao kufika,Mbona Pia hasemi ni kanuni zipi zinazoyabana mataifa wakilishi Africa kwenye UNSC ku-raise voice yao pale ambapo Inatokea Azimio walilolipigia kura linatekelezwa kinyume
My Take:
Kimsingi tungekuwa na clear foreign policy ,tayari msimao wa Tanzania ungekuwa umejulikana.Pia nina mashaka na naona haja ya wabunge wetu kujinoa katika kuzifahamu Sera zetu,bado hata wakiuliza maswali wanauliza kishabiki au kimtaa mtaa
Nchi nyingi za afrika hazitilii maanani sera za mambo ya nje,kwao sera yao kubwa ya mambo ya nje ni kuomba,kusaidiwa na kushukuru period! Mabeberu wanakuwa na nguvu kwetu.Membe kathibitisha hilo,pale aliposema Wakubwa ndiyo waliokuwa kikwazo kwa high level panel ya afrika kufanya kazi
Tanzania kutoa mchango wake kupitia A.U at the same time hatutoki hadharani kama alivyofanya Museveni na Uganda,ni uthibitisho mwingine kwamba influence yetu kwenye international politics na hata hapa Africa imeshuka sana.
So, H'nble Membe,The african union's voice does not count, if it did they would have made their presence felt by puting pressure on Nigeria, South Africa and Gabon and forced them to abstain from voting like the BRIC countries did i mean Brazil,Russia,India and China, instead what you had were 3 african nations allowing themselves to be used as pawns in order to get the requisite 9 votes in to pass this resolution.
It is a known fact that African leaders are selfish and sit-tighters but the rate at which the West in debauching African states to replenish their over-stressed economies is shameless. They are so blatant at the act that they are ready to take-on any government brazenly without shame.
This is exactly what they did during the slavery trade era -entering into villages using locals, in daylight capturing their able bodies as slaves without blinking an eye. In today's parlance, they only ride on the back of popular uprising to ferment and perpetuate illegalities.
This is a civil war, you do not take sides, you mediate and if that fails then you send in "peace keeping" troops.
Don't get me wrong, Iam a strong and staunch advocate of good and responsible government but the rate of western imposition is alarming , Africa and her leaders must watch out and checkmate these gate-crashing .
So until African leaders start making their countries better places for all their indigenous, they will keep getting this kind of treatment. You gotta keep in mind that the world at large will not stand by and watch America invade a good country with a decent leader. Evil needs a cloak under which to operate, in international politics, the cloak is 'ROGUE LEADERS' or 'ROGUE COUNTRIES'. Do right by your people and you wouldn't have to worry about that.
Kasema bado anasizitiza kwamba Msimamo wa Tanzania na Uganda ni kutaka kuitishwe kikao cha dharura,ofcorse ya Uganda nilisikia na kuisoma.Vipi Matamshi yetu sisi wizara ya mambo ya Nje ilitolea wapi?mwenye tamko hilo jamani naomba aliweke hapa
Pia,kasema kwamba AU ilishindwa kutoa msimamo au kuchukua hatua kutatua mgogoro wa Libya ati kwa kuwa imposed 'no-fly zone' ilikuwa kikwazo kwao kufika,Mbona Pia hasemi ni kanuni zipi zinazoyabana mataifa wakilishi Africa kwenye UNSC ku-raise voice yao pale ambapo Inatokea Azimio walilolipigia kura linatekelezwa kinyume
My Take:
Kimsingi tungekuwa na clear foreign policy ,tayari msimao wa Tanzania ungekuwa umejulikana.Pia nina mashaka na naona haja ya wabunge wetu kujinoa katika kuzifahamu Sera zetu,bado hata wakiuliza maswali wanauliza kishabiki au kimtaa mtaa
Nchi nyingi za afrika hazitilii maanani sera za mambo ya nje,kwao sera yao kubwa ya mambo ya nje ni kuomba,kusaidiwa na kushukuru period! Mabeberu wanakuwa na nguvu kwetu.Membe kathibitisha hilo,pale aliposema Wakubwa ndiyo waliokuwa kikwazo kwa high level panel ya afrika kufanya kazi
Tanzania kutoa mchango wake kupitia A.U at the same time hatutoki hadharani kama alivyofanya Museveni na Uganda,ni uthibitisho mwingine kwamba influence yetu kwenye international politics na hata hapa Africa imeshuka sana.
So, H'nble Membe,The african union's voice does not count, if it did they would have made their presence felt by puting pressure on Nigeria, South Africa and Gabon and forced them to abstain from voting like the BRIC countries did i mean Brazil,Russia,India and China, instead what you had were 3 african nations allowing themselves to be used as pawns in order to get the requisite 9 votes in to pass this resolution.
It is a known fact that African leaders are selfish and sit-tighters but the rate at which the West in debauching African states to replenish their over-stressed economies is shameless. They are so blatant at the act that they are ready to take-on any government brazenly without shame.
This is exactly what they did during the slavery trade era -entering into villages using locals, in daylight capturing their able bodies as slaves without blinking an eye. In today's parlance, they only ride on the back of popular uprising to ferment and perpetuate illegalities.
This is a civil war, you do not take sides, you mediate and if that fails then you send in "peace keeping" troops.
Don't get me wrong, Iam a strong and staunch advocate of good and responsible government but the rate of western imposition is alarming , Africa and her leaders must watch out and checkmate these gate-crashing .
So until African leaders start making their countries better places for all their indigenous, they will keep getting this kind of treatment. You gotta keep in mind that the world at large will not stand by and watch America invade a good country with a decent leader. Evil needs a cloak under which to operate, in international politics, the cloak is 'ROGUE LEADERS' or 'ROGUE COUNTRIES'. Do right by your people and you wouldn't have to worry about that.