Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!


Big UP mkuu, umemjibu ipasavyo. Alitaka wabunge walalame tuuu halafu iwekwe kapuni. Hakika mwisho wao waja, na kitambo si kirefu tutawahukumu kwa maovu yao juu ya nchi na wananchi. People are getting smarter each and every second gone by.
 
mnafiki tu ww ishia huko, umesahau issue ya madaktari nusura ikutoe kwenye chama! umepigwa mkwara na wanakuangalia ukirudia kupayuka payuka wana kupiga chini ndio maana unajitia kujenga hoja ya kuwa mawaziri watano na sio waziri mkuu, sasa kama ww mbunge unauwezo gani wa kuwangoa hao mawaziri? idiot ulikariri shule nini?

wasomi wa kibongo hawa duh! ww nyamaza kuwa kama wenzio wa viti maalumu upige makofi bungeni siku zako ziende, umesahau ulivyotuandikia kwenye ukurasa wako wa facebook. hii nchi yetu haiwezi kuendelea tukiwa tunavichwa kama vyako na wenzio akina lusinde.
 
Mh.K,naomba nikuulize japo haihusu unamjua mbunge wangu anaitwa Sereweji? je kunautaratibu gani wakuzungumza hadi yeye ankuwa azungumzi tangu kachaguliwa huku unguja?plz naomba unisaidie kwa hili.
 

Bila shaka biashara unayotufahamisha hapa kwamba umeianzisha from nothing lakini sasa imesimama ni MSK solutions Ltd, kwani ndiyo kampuni ikliyosimama kwa kuwadhulumu wakulima wa pamba pamoja na kujipatia fungu la stimulus package kimagumashi. Biashara halali uliyofanya ni ya saloon na tax labda utuambie hizo bado zimesimama?

Unajisifia kwa kuwaibia watanzania masikini, unajisifia kwa kuwaibia wapiga kura wako, unajisifia kwa kuwaibia wananzengo wenzako, wewe ni hasara kwa wananzega na taifa kwa ujumla.

Hata kama ukiandika thesis ya PhD tano lakini kama akili yako ndio hii haitakusaidia chochote wewe mwenyewe wala taifa zaidi ya kuwa mnafiki na mwizi wa rasilimali za watanzania.
 
Hivi wewe Dr umelogwa? Sasa umekuja kujitetea nini hapa zaidi ya kumwaga pumba?Najua ulikuwa unamuogopa Hawa Ghasia mana kipindi cha mgomo wa madaktar ulipigwa za uso ukakaa kmya bado kidogo ungevuliwa ubunge. Kutokana na kuwa kigeugeu usitegemee kurud tena bungeni 2015. We endelea kujichekesha na kujipendekeza kwa Jk ili angalau aukupe uwaziri wa watoto jinsia na Wanawake. MERDE
 
Halafu nyie!! Mie Mwenzenu nimistuka! Nilidhani ni Dr aliyekokotoa shule kumbe ni Dokta wa MITISHAMBA! .. Tumemsikia, tumemwelewa Na tutatumia maneno Haya Haya kuwapelekea wana Mbokandogo(Nzega).. Wahukumu.
 
Mzee Mwanakijiji,
Ni sheria gani inayoelekeza kwamba wabunge wakipiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu na kura zikakidhi mahitaji ya kikanuni ili kumng'oa waziri mkuu Raisi atawajibika kulivunja bunge?
 
Reactions: DSN
Hoja ni kusaini kwa ajili ya kukidhi matakwa za kanuni za Bunge ambalo lilimptisha waziri mkuu. Mawaziri walichaguliwa na Rais ndiye madaraka ya kuwawajibisha.

Inatia shaka uwakilishi wako, ni hakika si wa wananchi bali ni wawaliokuupa uwakilishi (CCM). Ukishakula nyama ya mtu huachi inaleta maana kwako inadhirisha kuwa omezoea kutafuta kwa gharama yo yote hata kwa ghilba; nina shaka kama dini ya kiislam unaielewa au unaiimba kama kasuku.

Haya wenzio wabunge wa CCM NEC wameitekeleza hoja ya zitto kwa vitendo na Rais anaitekeleza kabla haijawasilishwa mezani bungeni wewe upo wapi?

Misifa ya elimu ya vyeti vingi kichwani hamnazo. Hata Lusinde anakushinda

KWELI CCM NI KOKOLO
 


hapo kwenye RED that is very low from MD holder, bora ulivyokimbilia siasa hospital ungekuwa watoa Wrong diagnosis daily... hivi inamaana upo hapo mjengoni kuwakilisha chama na si wananchi..! ?! nilitegemea kijana kama wewe utakuwa mstari wa mbele kusaficha chama chetu tawala.. vijana wa CCM hebu muigeni malema
 


Mkuu unimenichekesha sana lol! umempa vizuri huyu kijana(Mb).
 
 

You are wrong Lemtuz! anatakiwa kusimama kwa miguu yake yote miwili na kuwatetea wananchi walomchagua na si madudu yanayofanywa na serikali kupitia mgongo wa chama chake.
 
Sikutegemea kama ungeleta pumba kama hizi,ni bora ungekaa kimya tu ona sasa ulivyoharibu hali ya hewa,
Wewe ni mnafiki period.
 
Operasheni Amka Nzega ilimshinda leo hilo la Zito, hana lolote ndio Maana hajibu chochote
 
Kigwangala, busara au ujinga wa mtu hujionesha pale atakapoongea/andika kupresent fikra zake. Sifikiri kama ulitumia muda mwingi kuruhusu kichwa yako kufikiri maana kilichomo katika maelezo yako na wakati tuliopo havishabihiani. Huwezi kutetea wezi hata kama wanatoka katika familia yako; huwezi kutetea mtu mmja anayeuwa mamilioni ya watu kwa kusababisha uchumi kuwa mbaya/umasikini hata kama muhusika anatoka ndani kwako. Kumbuka una jukumu la kuwawakilisha wananchi katika jimbo lako ambao wanahitaji maendeleo. Ukifikiri kiundani sana Zitto japo amekibomoa CCM lakini hapo 2015 mkichanga karata zenu vizuri mnaweza kubaki na japo wabunge kadhaa otherwise itakuwa ni mbaya zaidi. Naamini wewe ni kijana usiburutwe na wazee wa CCM wana muda mfupi waliobakisha kulitumikia taifa hili, tumia muda huu kupingana nao kwa ujenzi wa Chama. Unakubali kwamba kuna mawaziri wameboronga lakini unatetea waziri mkuu ambaye ni mkuu wao asiwajibike kwa kutowawajibisha wahusika unatufunza nini? tukuchukie? Bro next time usifanye maamuzi ya namna hiyo jifunze hata katika nchi zilizoendelea namna wabunge ndani ya chama kimoja wanavyounga hoja za chama kingine cha upinzania bila kuogopa so long as ni kwa maslahi ya nchi. Nafikiri hata katika Baraza jipya la mawaziri haufai bro japo kuwa JK huwa hana maono aweza kukuchagua, Ukichaguliwa good luck lakini ukatende kazi na kuacha mawazo potofu tekeleza hata mawazo ya wapinzani kama yanajenga. Kwa maendeleo ya jimbo lako shirikiana na wapinzani na utumie hoja zao nzuri katika ujenzi wa taifa. Tunaumia sana bro kusikia hoja dhaifu kutoka kwa msomi kama wewe japo kuwa kudesa napo kupo mashuleni huko. Good luck bra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…