Majibu ya ACT-Wazalendo kwa hoja za Tundu Lissu

Act ni waroho wa madaraka kama kc wao. Wameamua kunywa juice ya bariiidi kupitia damu za watu. Alafu wanavyomfagilia huyo Maalim Seif kama vile sio mtu/sio binadamu wa kawaida. Kwa taarifa yenu huyo ndio mwenye tamaa sana. Kutoshiriki SUK 2015/2020 inamuuma sana.

Inshort, hakuna maslahi mengine mapya ambayo ACT jnayapigania huko Zanzbr zaidi ya zile damu za watu zilizomwagika. Hayo maoni mnayosema mmeyakusanya nina hakika mmechukua maoni ya viongozi wenu wala siyo ya wananchi. Mnajenga hoja mfu tu hapo.

Take my words, ACT will never get back on game by 2025. Hata CUF ilikufa kwa njia hiyo hiyo.
 
Jibu na ile aliyosema sasa Maalim anaenda kupigiwa saluti na Mapolisi walioua watu wake..
 
Amejitahidi kutoa sababu. Shida ni kuwa:

1. Kwa kubali Umakamu Rais ni kukubali kuwa mshindi alikuwa kweli Dr. Mwinyi. Mimi nilidhani msimamo wao ulikuwa wamedhulumiwa ushindi kwa hiyo kikatiba nafasi yao ni Urais na kuwa Chama Tawala. Sasa kukubali Umakamu Urais na nafasi mbili za uwaziri ni kukubali tacitly kuwa walishindwa.

2. Kiongozi Mkuu amesema kuwa kama unamdai mtu akikulipa kidogo unatakiwa upokee halafu uendelee kumdai. Tatizo na hoja hiyo ni kuwa katika hili la kwao ni kama mtu unamdai milioni moja halafu akakupa 10000 wakati unajua ana zaidi ya milioni moja. Ukipokea hiyo 10000 ndio ujue utakuwa unalipwa 10000 mpaka deni litakapoisha maana anajua una njaa. Pesa ambayo hutaweza kufanyia lolote la maana.

3. Kwa kutoweka wazi ahadi walizopewa na serikali inatoa mwanya wa kurukwa hapo mbeleni. Wanaweza kuambiwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Au tukianza kufukua makuburi basi ile amani iliyotupeleka kuungana itapotea. Leverage ina nguvu tu kabla haujasaini Mkataba. Ukisha saini ndio imetoka. Ndio maana Mandela alikataa kutoka jela mpaka pale ahadi alizopewa zilipoanza kutekelezwa.

4. Watu wengi tuu hawana imani na Kiongozi wao Mkuu na kumuona kama opportunist. Ingawa mimi sikubaliani nao, hili lilofanyika litatumika kuthibitisha dhana hiyo.

5. Kwa kuwa sehemu ya serikali hawatakwepa kuhusishwa na mapungufu yeyote yatakayotokea mbeleni hata kama wao ni sehemu ndogo ya hiyo serikali. Liberal Democrats wa Uingereza hawa recover toka walipofanya maamuzi ya kujiunga na serikali ya Conservatives. Walibebeshwa lawana zote bila hata kupewa sifa kuwa walipunguza makali ya Conservatives.

6. Inawezekana kweli dhamira ya Maalim ni njema na ameweka mbele maslahi ya Zanzibar na sio yake mwenyewe. Lakini optics sio rafiki kwake. Kula kiapo pamoja na mtu ambae Watanzania wote walishuhudia uonevu mkubwa aliofanyiwa na hiyo serikali wanayo jiunga nayo wala haipendezi.

7. Hicho mnachokiona ni nguvu ya Maalim ndio weakness yake. Focus yake kwenye haki za Wazanzibari kunamfanya adharau haja ya chama chake kuwa na mvuto upande wa pili wa Muungano. Kwake yeye ACT-WAZALENDO ni conduit tu ya kumwezesha kuendelea na mapambano yake ya kutetea maslahi ya Wazanzibari na hasa Wapemba. Kwa kufanya hivi yuko tayari kuwatosa chini ya basi wenzake wanaotoka upande wa pili wa Muungano. Inawezekana kabisa kuwa wanachama wao wa Zanzibari wamebariki msimamo wao lakini wamesahau kuwa hizo baraka walitakiwa wazipate pia kutoka wanachama wao waliopo upande wa pili wa Muungano ambako kwa kitendo hiki imani kwao imepungua sana. Na ukweli ni kuwa bila kuwa na nguvu Bara hata hiyo SUK inapungua sana nguvu. Labda wajiunge kudai kuvunja kabisa Muungano, kitu ambacho sidhani kama Dr. Mwinyi atakubali kufanya.

Lakini kama walivyosema tuwape benefit of doubt kuwa matokeo ya yote haya yatakuwa mazuri kwa Wazanzibari. Ikiwa hivyo itabidi kweli tuwaangukie na kuwaomba msamaha. Lakini isipokuwa hivyo wajue watakuwa hawana pa kukimbilia.

Amandla...
 
aya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt,,HUKU NDO SURRENDER YENYEWE.
Walitakiwa kutaja hizo hatua.

Amandla...
 
Namshangaa sana Tundu Lisu kwa maneno machafu yasiyo na chembe ya ustaarabu.
Kwanza anajiona kwamba yeye yu ajua kila kitu, wengineo hawana wanalofahamu na ndio kisa cha kutoa matusi ya reja reja.

Tundu Lisu hajamaliza sakata la wabunge wa viti maalum kupitia Chadema, mara tu kesharukia katika maamuzi ya vikao vya ACT, pilipili iliyopo shamba yamuashia nini?

Akumbuke kuwa roho mbaya na chuki havitaijenga nchi hii, wamekandamiza haki ya akina mama, sasa wanaingilia haki ya Wazanzibari, inawahusu nini?

Nani kampa TL kazi ya kuwasemea wazanzibari?
Kiherehere cha nini? Jamani TL ni boya,mchonganishi na mzushi mkubwa anayetamani na kuomba usiku na mchana Tanzania ichafuke na damu imwagike kwa maslahi yake na wanaomtuma kufanya hivyo.

Kitendo cha kuikimbia nchi kinatosha tu kutuonyesha kwamba TL si jemadari imara katika mapambano, hafai kabisa katika kuleta maendeleo ya Watanzania ila anahitaji zaidi Tanzania ifarakane.TL ni kirusi hatari sana ktk nchi yetu.

Nawaomba Wa TZ wote tuwe wamoja, tusishikiwe akili zetu na mzushi TL.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
Sijawahi kuwaamini Act na sito wahi
 
Dah..ningeandika kitu.... lakini kwa sababu nimelewa.... ngoja nikae kimya
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
Act is planning a cou, ccm be careful
 
Act kimeshindwa kutoroka mtego wa jpm Sasa tunasubiri sarakazi zaidi ya izi
Ila yote Kwa yote huu ndo mwisho wa maalim seif akujua mbinu hii ya ccm Kama ingekuwa namna hii
Nataka kusema kuna siku huu ubaradhuli utaisha.
 
Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari.
yaan lengo zima la uzi huu ni kutafuta jinsi ya kuweka hii point hapa
kwakweli tanzania tujitasmin kuhusu siasa zetu

kwa style hii kumbe maamuzi yangu ya kutoshikamana na chama chochote yapo vizuri tuu
simuoni aliyebora awe lissu, maalim au magu
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
In record, Lisu is right, this old guy is being used like a toilet paper, worse than a condom, condoms are used once. He has been used twice!

worse than pigs and dogs

you can’t imagine Maalim sleeping with this devil, CCM which has spilled innocent blood, for sake of power
 
Mtanuna saaana!
CCM ni bingwa wa kusaka maridhiano ya kitaifa - ninyi endeleeni na Robert Amstadam wenu
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
Wapuuzi tu nye hamna lolote ,tawi mpya la ccm
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
Wamewapiga,wamewaua sasa mmjejiunga nao,na unasema jumuhiya ya kimataifa ipo kazini katika Swala hili?Ili itafute nini?uchaguzi ulikuwa wa kijambazi,ACT mnajua,Ccm wanajua,Mwinyi anajua,sasa awakubalie jumuhiya ya kimataifa Ili wwmchunguze kupitia kwenu?!!hili aliingii akilini.
Unaposema Maghufuri hataki umoja wa kitaifa Zenj,ueleweki,Mwinyi kawekwa na bara Madarakani,hata viongozi wako wanajua hivyo,sasa unaongea vitu gani.
Mmekubali kwamba ccm ndio wenye hati miliki ya Zenj,na ndio wenye haki ya kutawala,nyie ni kupewa handout tu.
 
Nyinyi Act Wazalendo haya Ni majibu au utumbo mtupu , hata mkae kamati kuu yenu mwaka mzima hamuwezi kuja na majibu ya maswali na hoja mlizooulizwa na Lissu .

Uzuri wake ni kwamba Tundu anawajua wote hawa na umimi wao katika siasa!!!
 
ACT wamewakatisha tamaa wanachama wao, nadhani next time wakiambiwa waingie barabarani hawatapata mtu hata mmoja,.kwa maamuzi ya kimbweha hayo
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
Unahangaika na kibaraka wa mbabeberu. Achana naye amefuata njia ya Kambona hawezi kufanikiwa.
 
Imeandikwa na Janeth Rithe, Katibu wa Uenezi Taifa ACT Wazalendo

Nimesoma maoni ya Ndg. Tundu Lissu kuhusu Uamuzi wa chama cha ACT Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Ninaheshimu sana maoni yake na tunachukulia kwa uzito mkubwa ukosoaji wake kwa maamuzi ya vikao vya chama chetu. Licha ya kwamba inaleta ukakasi ukosoaji wa maamuzi ya vikao vya chama kutoka Kwa Kiongozi wa chama kingine cha upinzani lakini tunaamini ni ukosoaji wa nia Njema. Sisi kama ACT Wazalendo tumejitahidi sana kujiepusha kutolea maoni maamuzi ambayo viongozi wa CHADEMA wamefanya hivi karibuni licha ya Kuwa na Taarifa nyingi za uhakika kuhusu maamuzi yale. Nitafafanua baadhi ya mambo ambayo ndugu yangu Lissu ametolea maoni.

Lissu anasema kuwa “ACT wame-surrender kwa Magufuli na maCCM. Hakuna Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar inayoamuliwa na Wazanzibari wenyewe; bali ile inayoruhusiwa na Watanganyika, yaani Magufuli na maCCM ya Tanganyika”. Maoni haya yametolewa Kwa haraka bila kutafakari wala kurejea historia ya hivi karibuni.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni zao la Wazanzibari wenyewe kufuatia maridhiano ya Novemba 5, 2009. Wazanzibari walipiga Kura kuidhinisha Mabadiliko ya Katiba yaliyowezesha hilo. SUK ni suala la Katiba na sio suala la watu kukaa na kujadiliana. Mwaka 2010-2015 CUF ilishiriki SUK sio Kwa kuwa Watanganyika walitaka bali Kwa Kuwa Wazanzibari walitaka. Watanganyika walipinga sana maridhiano Zanzibar, tena wa pande zote mbili upinzani na CCM kwa sababu ni hulka ya Watanganyika kujiona wao ni watawala wa Zanzibar. Hata haya maoni ya ndugu yangu Lissu yamejikita katika muono huo huo wa ‘mentality’ za kikoloni Kuwa Wazanzibari hawawezi kujiamulia mambo yao wenyewe mpaka waamuliwe au wasemewe na Watanganyika.

Maamuzi ya kuwepo kwa SUK ni ya Wazanzibari na maamuzi ya ACT kuingia SUK Mwaka huu ni kutimiza matakwa ya Wazanzibari ambao wanataka Umoja, Haki na Maridhiano ya kijamii. Hii hulka ya Watanganyika wa upinzani na wa chama tawala kudhani kuwa wanajua zaidi maslahi ya Wazanzibari kuliko Wazanzibari wenyewe ni hulka ya KIKOLONI.

Tuna ushahidi wa kutosha kuwa Bwana Magufuli na CCM hawataki SUK Zanzibar Kwa Kuwa hawataki Wazanzibari kuwa wamoja. Uamuzi wa kuingia SUK ni Uamuzi wa Wazanzibari ambao kwetu sisi ACT Wazalendo umepata baraka zote za vikao vya chama tena bila mkwaruzano (unanimously decided ). Magufuli na CCM Watanganyika wasipewe sifa wasiostahili kuwa eti wameridhia SUK, huko ni kuwadogosha Wazanzibari kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi Yao wenyewe.

Ndugu yangu Lissu anasema “Tumemtupia Maalim Seif mfupa mtupu (Makamu wa Kwanza wa Rais hana mamlaka yoyote ya maana kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar!) ili atulie na awatulize Wazanzibari wanaomuunga mkono na jumuiya ya kimataifa iliyochukizwa na dhulma zetu Zanzibar na Tanganyika”. Vile vile maoni haya ni hisia tupu ambazo haziwezi kuthibitishwa na ushahidi wowote. Haya ni Maneno mepesi ambayo mtu yeyote hata muuza kahawa wa Urughu, Iramba anaweza kuyasema. Lakini pia ni hisia ambazo muda utathibitisha kuwa hazina msingi.

Chama chetu kimezungumza na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu uharibifu mkubwa wa uchaguzi uliofanyika hapa Tanzania. Niseme tu Kuwa Jumuiya ya Kimataifa inajua Kwa undani nini kimetokea mpaka kufikia Uamuzi huu wa ACT Wazalendo kuingia katika SUK Zanzibar. Matokeo ya SUK Zanzibar yana maana kubwa sana katika juhudi za Jumuiya ya Kimataifa dhidi ya ukandamizwaji unaoendelea hapa Tanganyika. Litakapodhihiri ndugu yangu Lissu na Watanzania wote wataona nini maana ya Uongozi. Kiongozi ANAONGOZA! Kiongozi HAONGOZWI. Jumuiya ya Kimataifa haitatulizwa bali ipo kazini katika hili la SUK. Niishie hapo. Itoshe kusema Kuwa Viongozi wetu wa ACT Wazalendo katika hili wanatoa Uongozi badala ya kuongozwa na mihemko ya Wanachama na wafuasi wakiwemo wana harakati.

Ndugu yangu Lissu anasema “Serikali hii ya sasa ni tofauti na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Amani Karume na Maalim Seif. Ya mwanzo ilileta mabadiliko makubwa ya Katiba ya Zanzibar; kwa sababu Karume alikuwa anaunga mkono jitihada za Wazanzibari za kujivua kwenye ‘koti linalobana’ la Muungano”. Naomba kumkumbusha Lissu kuwa Maalim hajawahi kuingia SUK na Rais Karume. SUK ya kwanza Zanzibar ilikuwa Kati ya Dkt. Shein na Maalim Seif. Ni imani yetu kuwa SUK hii italeta Mabadiliko makubwa kwa Wazanzibari na haswa kuimarisha Umoja wao kupitia maridhiano ya kijamii, kutoa Haki Kwa watu wote walioumizwa na kupoteza maisha Wakati wa uchaguzi na kuweka misingi ya kisheria ya chaguzi za Haki siku za usoni.

Lissu anasema “Hussein Mwinyi ni kibaraka wetu moja kwa moja; tumemweka madarakani kwa bunduki na vifaru vya Bara na kura za Watanganyika waliopelekwa kupiga kura Zanzibar wakati Wazanzibari halali wanakataliwa kupiga kura”. Haya ni maoni tu ya ndugu yangu Lissu. Sisi kama chama na viongozi tunampa Ndg. Hussein Ali Mwinyi kinachoitwa BENEFIT OF DOUBT. Kwa hatua ambazo Dkt. Hussein amezichukua mpaka sasa tangu awe Rais wa Zanzibar anastahili kupewa hiyo benefit of doubt. Sisi ACT Wazalendo tumerejesha mkono wa kheri katika kurejesha Umoja na Haki kwa Wazanzibari. Maalim Seif anasaidiana na Dkt. Hussein kujenga Zanzibar ya maridhiano. Hukumu anayotoa Ndg. Lissu Kwa Dkt. Mwinyi ni hukumu ambayo yaweza kutosimama muda unavyozidi kwenda.

Lissu anasema “Sasa Maalim Seif Atatumika kama toilet paper ya kusafishia uchafu wa maCCM na madhambi yao dhidi ya Wazanzibari”. Haya ni matusi kwa Kiongozi wa Wazanzibari ambaye amesimamia mapambano ya Wazanzibari maisha yake yote. Sijaamini kama matusi haya yanatoka kwenye maandishi ya ndugu yangu Tundu Lissu. Ushauri wangu kwa Tundu ni kuweka akiba ya Maneno.

Tundu anamalizia kwa kusema haya dhidi ya Maalim Seif “Mimi naamini hatafanikiwa. Masikitiko yangu ni kwamba amekubali kutumika namna hii katika uzee wake. Baada ya miaka karibu arobaini ya kusimamia maslahi ya Wazanzibari, sasa amekubali kutumikia maslahi ya Tanganyika!!!” Hii ni imani yake ndugu Tundu. Mimi ninaamini Kuwa Tundu Lissu amejenga imani hii kutokana na hisia na kutokuwa na taarifa za kutosha. Angechukua muda wa kuzungumza na Maalim Seif au Kiongozi wetu wa chama ndugu Zitto Kabwe angepata taarifa za kutosha ambazo zingemfanya asiandike alichoandika.

Mwaka 1987, miaka 33 iliyopita, Maalim Seif alitoa ahadi mbele ya Wazanzibari ambayo anaiishi maisha yake yote. Maalim hajawahi kuongozwa na tamaa ya mali wala maisha ya Dunia. Anaishi maisha ya kawaida sana. Kwake yeye ni Zanzibar, Zanzibar, Zanzibar. Kila hatua anayochokua ni hatua ya kuilinda Zanzibar na Wazanzibari. Hajaacha na hataacha kusimamia maslahi ya Wazanzibari. Hata hili la sasa la SUK ni Kwa maslahi ya Zanzibar. Kwa sisi tunaokaa na Maalim kwenye vikao tunajua Mzee huyu ni wa namna gani. Kwa ambao wanamwona Maalim kwa nje wanaweza kumtafsiri kama hivi ndugu yangu Lissu alivyomtafsiri. Muda ni jawabu. Lissu atameza haya Maneno yake.
Nilichogundua hapa kwambali naona Zanzibar inakwenda kujitawala wanapewa nchi kisiri ili isiasiri ccm huku bara kama vile kunasiri naiona imejificha kwamsemo mungine ccm imeona haya kukubali hadharani imeachia znzb muda utaongea
 
Back
Top Bottom