Ottician
Senior Member
- Jul 6, 2019
- 103
- 81
Habari wakuu,
Ninaomba mwongozo hapa:
Hili swala la kufanya oral interview then majibu hayatoki ( kuchukuliwa au la) then zinatangazwa nafasi mpya kada hio hio limekaaje hapo. Ni kwamba vigezo vya nafasi hio havijafikiwa wasailiwa wote?
Na vipi kuhusu kuwekwa kwenye database (kanzidata).
Ninaomba mwongozo hapa:
Hili swala la kufanya oral interview then majibu hayatoki ( kuchukuliwa au la) then zinatangazwa nafasi mpya kada hio hio limekaaje hapo. Ni kwamba vigezo vya nafasi hio havijafikiwa wasailiwa wote?
Na vipi kuhusu kuwekwa kwenye database (kanzidata).