Mi huwa najiuliza Tiss na Jw ni mazombie au wenyewe sio wananchi wa Tanzania! Ndio matatizo ya darasa la saba na form four failures kuwa kwenye sehemu nyeti.
Itakua upo nje ya nchiHapa nimetoka mkavu kabisa, mzee punguza code nasi tupate kuelewa japo kidogo
Vumbi limechafukaMzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?
Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!
Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA
Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman!Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!
Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!
Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!
Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?
Fruits of the loom!
Uzi uko wazi sana kama unafatilia kinachoendelea kwenye nchi yakoUzi una code nyingi sana.
Wanawake wa kichaga wachepukaji huwa wanasema " kula pembeni pembeni katikati muachie Masawee...wakinogewa wanasema kula yoote Masawe atakula mafi yake"Taifa halina dira kila anaekuja anakuja na yake lazima tuone tofauti!. Walinda mipaka mi huwa nawashangaa hivi unawezaje kulinda pembeni yako nawakati katikati yako inaliwa!..
wakinogewa wanasema kula yoote Masawe atakula mafi yake"Wanawake wa kichaga wachepukaji huwa wanasema " kula pembeni pembeni katikati muachie Masawee...wakinogewa wanasema kula yoote Masawe atakula mafi yake"
Hapa nako wanamega mdogo mdogo wakikolewa tunauzwa jumla cc Ndugai.
Mshana Jr
Mwenge......oyeeeeeWanafanya haya yote wakijua wananchi wa Tanzagiza ni makondoo na hawawezi kufanya lolote,tupo tupo tu ili mradi siku ziendeoooh my beautiful country
Huko wamejaa kijani, sifa na mapambio kusaka teuziNdani kuna watu wanajiita "wasalama". Simaanishi Sungusungu, yaani ni watu wa ndanindani huko deep. Lakini hata huo Usalama wao haujulikani ni Usalama wa nini. Kwa nchi nyingine hawa ndo wangerekebisha kukubali au kukataa madudu ya ndani, kurekebisha au kunyoosha makandokando. Lakini hawa wa kwetu wapo, wapowapo tu ni Bora Sungusungu wa Buchosa wangepewa hii kazi.
Haya mambo huenda yana mlolongo ambao umechezwa kama chess. Fikiria kwa undani. 1. Alianza kufariki Mkapa. 2. Akafuata Magufuli..... 3: malizia kwa kuangalia hii clip hapaMzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?
Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!
Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA
Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman!Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!
Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!
Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!
Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?
Fruits of the loom!
Wauze Tanesco, atakayenunua amalizie bwawa la Rufiji, maana haliishi tu,Rais Samia : kila kitu kibinafisishwe ,serikali ya Tanzania haitafanya biashara yoyote.( 13/6/2022, akiwa Oman)
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?
Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!
Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA
Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman!Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!
Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!
Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!
Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?
Fruits of the loom!
Clueless Mangungo reincarnated? How now?Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?
Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!
Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA
Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman!Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!
Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!
Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!
Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?
Fruits of the loom!
your problem lies with people who are supposed to rest but don't want to rest.Clueless Mangungo reincarnated? How now?
Let him rest, your problem lies with people who are supposed to rest but don't want to rest.