Maji ya tanki kuwa machungu

Maji ya tanki kuwa machungu

Kiresua

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2009
Posts
1,183
Reaction score
261
WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye

Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.

Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.

Kiresua
 
WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye

Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.

Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.

Kiresua
Weka dawa ya chlorine mkuu uko maeneo gani kwanza halafu usiwe unaweka maji bila ku discharge yaliyobakia mwanzo.
 
Ni tenk jipya, na hatujahamia bado. Maji ni ya mvua. Niko Morogoro
Kama haujahamia na kuweka umakini wa Tanki lako, maji yatakayokuwemo tankini usiyaamini hata kidogo.

Maji kuwa machungu kwa test ni ishu ya kimaabara zaidi, husisha wataalamu kwa kuwapelekea sampuli ya maji utapata majibu sahihi.

Halafu maji ya mvua ni maji taka yasiyo salama kwa matumizi ya binadamu, hayafai.

Ukihamia na kutulizana, vuta na kuunganisha Bomba la idara ya maji, ili uwe na uhakika wa usalama wa matumizi ya maji Yako.

Maji toka vyanzo vya idara ya maji huwekwa dawa(shabu nk nk) na yakifika kwenye tanki, dawa hiyo huyafanya maji yajigide na taka zote kurundikana chini na utakapokuwa unayatumia muda wote yatatoka meupe yenye kung'aa.
 
"Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec"

Ulichimba kisima au au shimo la kuhifadhia maji?
anyways ni vizuri ukapeleka hayo maji maabara ili kupata uhakika
Napendekeza hivyo kwani Mie nina shimo la kuhifadhi maji ya mvua na sijawahi kupata kadhia hiyo
 
WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye

Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.

Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.

Kiresua
Kama haukuweka krolini au shabu mbu wameyakojolea, hata hivyo hongera kwa kutujulisha kuwa umenunua tanki
 
WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye

Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.

Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.

Kiresua
Maybe you have conceived.
 
WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye

Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.

Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.

Kiresua
Tank ulilisafisha vizuri kabla ya kuweka maji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WanaJF, naomba msaada kwa ajuaye

Nilichimba kisima nikajaza maji ya mvua mwezi Dec. Jana nimeyatest maji ni machungu kama yana mchunga.

Sio chumvi, wala magadi ila yana Uchungu na hayafai kwa mtumizi.

Kiresua
Huyo jirani yako mwenye macho mekundu na mke asiyetosheka muangalie Sana.
 
Maji ya mvua yasipowekwa chlorine (mfano waterguard) huingia aina za wadudu/fungus na kuharibika haraka, hata rangi aghalabu hugeuka kijani fulani.

Ukiongea a watu wa idara ya maji utapata ushauri jinsi ya kuhifadhi maji ya mvua, na namna ya kupata hizo dawa zenye chlorine.

Ukiyatreat hivyo maji ya mvua ni salama kwa matumizi yote nyumbani - japo kwa kunywa yanamiss baadhi ya madini/ chumvichumvi.
 
Back
Top Bottom