Maji ya kuoga...!


Asanteeee King'asti!!
Ajabu.... watu wanapenda "maendeleo" na "mabadiliko yake" lakini inapokuja kubadilisha yale yenye kuwaondolea "mteremko" ni back-peddling ya nguvu!
Kwani kama unapenda kutumikiwa kwanini nawe usitumikie? Ukimfanyia mkeo naye atakufanyia maradufu.
Kanishangaza ati mkewe hamwekei maji hadi amgombeze.....kwani huyo ni mke au mtumwa?
 
mwambie akupelekee maji ukaoge kama hataki basi anza mgomo wa kutokoga mpaka atakapotii amri yako.
 
Mnapoanza kukwaruzana juu ya kuwekeana maji au kufuliana vitasa, jichunguzeni lazima kuna mahali mapenzi yamepungua kwa sababu haina ugumu wowote kama mnapendana na hamjaudhiana kwa mtu kumfanyia kitu mwenzie au hata asipofanya kuelewa na kuchukulia simple. Kama mimi MJ1 ninakuwekea maji ya kuoga bafuni, jua ninafanya hilo kwa kuwa ninakupenda na nategemea na wewe kama unanipenda kweli hutojenga hoja siku nisipofanya hivyo. Vile vile hata wewe siku ukiniwekea maji ya kuoga nitachukulia kuwa ni mapenzi na katu siktokushangaa wala kujigamba.
 

kuna wanaowekewa maji lakin amani ndani ya nyumba haipo hata kidogo!
So we kama kuna amani hilo usikwazike kaka. Ni makubaliano2
 
jamani sabri usiseme ivyo,upendo ndio nguzo ya ndoa na kupenda sio kusema i love you,ni matendo madogo.kwa msimamo huo mwezi mmoja atakukimbia.

mama mkwe mmebaki wanawake wachache sana kama nyie hawa vishankupe wa dot com ni balaa tupu
 
tatizo lao wanakopy kutoka nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…