Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,356
- 37,171
Leo tu share story mbali mbali za maji hufuata mkondo..........
Kuna rafiki yangu mmoja alikua anachukizwa sana na kitendo Cha baba yake kupiga ulabu....
Tulipo kua tunakua alituapia kua yeye hato kuja kupiga ulabu duu!! Alipo pata kazi akaanza kupiga ulabu mpk kuitwa Chapombe.....MAJI HUFUATA MKONDO.
Kuna rafiki yangu mmoja baba Ake alikua askari, baada ya kumaliza masomo mtoto Ake akaenda CCP Kwa Sasa ana cheo kikubwa jeshini, mzee alistaafu ila dogo ana cheo kikubwa kuliko mzee....MAJI HUFUATA MKONDO.
Familia Moja mabinti wa hapo huzalia nyumbani.....MAJI HUFUATA MKONDO
Kuna familia ni walaghai, wezi, matapeli, wababaishaji....MAJI HUFUATA MKONDO
Kuna familia Moja baba alikua kiongozi mkubwa wa Dini, mtoto nae akamfuata mzee...MAJI HUFUATA MKONDO.
Je? Una kisa chochote kinacho weza kuelezea maana ya maji kufuata MKONDO?
Karibuni wadau tujadili.
Kuna rafiki yangu mmoja alikua anachukizwa sana na kitendo Cha baba yake kupiga ulabu....
Tulipo kua tunakua alituapia kua yeye hato kuja kupiga ulabu duu!! Alipo pata kazi akaanza kupiga ulabu mpk kuitwa Chapombe.....MAJI HUFUATA MKONDO.
Kuna rafiki yangu mmoja baba Ake alikua askari, baada ya kumaliza masomo mtoto Ake akaenda CCP Kwa Sasa ana cheo kikubwa jeshini, mzee alistaafu ila dogo ana cheo kikubwa kuliko mzee....MAJI HUFUATA MKONDO.
Familia Moja mabinti wa hapo huzalia nyumbani.....MAJI HUFUATA MKONDO
Kuna familia ni walaghai, wezi, matapeli, wababaishaji....MAJI HUFUATA MKONDO
Kuna familia Moja baba alikua kiongozi mkubwa wa Dini, mtoto nae akamfuata mzee...MAJI HUFUATA MKONDO.
Je? Una kisa chochote kinacho weza kuelezea maana ya maji kufuata MKONDO?
Karibuni wadau tujadili.