Wewe jamaa hujui kitu,,,,,,,majeshi yetu na yaliyopo kwenye katiba, sheria ni jwtz, Jkt, polisi, Magereza, zimamoto,na uhamiaji imeonyeshwa kama idara sio jeshi,,,,,,,, nimekushangaa pia uliposema fire ni idara ndani ya polisi, sio kweli toka 2012 fire iliidhinishwa rasmi kuwa jeshi, chini ya commandment 1 na kuhamishiwa wizara ya mambo ya ndani bz zamani walikua tamisei