Majeruhi wa Shambulizi la Risasi aaga Dunia

Majeruhi wa Shambulizi la Risasi aaga Dunia

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,917
Majeruhi mmojawapo ktk shambulizi la risasi ndugu Francis Shumirwa.ameaga dunia ktk hospital ya Muhimbili kitengo cha MOI alikokuwa anapatiwa matibabu.

Kufariki kwa Francis kunafanya waliofariki ktk tukio hilo kufikia watatu,wakati Christina Newa anayedhaniwa kuwa chanzo cha tukio na Mama yake aliyetambulika kwa jina la Hellen wakiwa bado wanapatiwa matibabu.

Source😀ar24
 
khaaa sio vbaya sina huyu kidogo ana shabaha sio kama mushi...taifa linahitaji vijana wengi majasiri na wenye shabaha kama huyu

#Kunjani kuti
 
Majeruhi mmojawapo ktk shambulizi la risasi ndugu Francis Shumirwa.ameaga dunia ktk hospital ya Muhimbili kitengo cha MOI alikokuwa anapatiwa matibabu.
Kufariki kwa Francis kunafanya waliofariki ktk tukio hilo kufikia watatu,wakati Christina Newa anayedhaniwa kuwa chanzo cha tukio na Mama yake aliyetambulika kwa jina la Hellen wakiwa bado wanapatiwa matibabu.
Source😀ar24

kwenye picha niliona maiti mbili za kiume. tukaambiwa kuna binti aitwae alpha nae kauawa. kama ni hivyo baasi huyu atakua wa nne. please correct me if I am wrong.
 
kwenye picha niliona maiti mbili za kiume. tukaambiwa kuna binti aitwae alpha nae kauawa. kama ni hivyo baasi huyu atakua wa nne. please correct me if I am wrong.

Alpha ni mwanaume na alifariki jana pia ni kaka mdogo wa XTina. usichanganye hope uneelewa
 
He una akili timamu kweli? Watu wameuawa wewe unafurahia!!!Hakuna mtu aliye na haki ya kutoa uhai wa mtu mwingine including wake despite any reason!!!
khaaa sio vbaya sina huyu kidogo ana shabaha sio kama mushi...taifa linahitaji vijana wengi majasiri na wenye shabaha kama huyu

#Kunjani kuti
 
Kosa alilofanya Mushi hata Munisi amelirudia! kumucha 'mhusika mkuu' hai na kuua wengine!:disapointed:

hawa wahusika ni Mungu anawaepusha na kiifo cha sasa ili wayapate mateso ya dunia, maana wametenda maovu yaliyokithiri, hakika wasipotubu na kujutia dhambi zao maisha yao yatakuwa ya kilio na kusaga meno. namshangaa U.S ameshaanza drama mara eti" nimemsamehe Mushi", mara "yote namwachia "Mungu",....... time will remain their honest attorney..........
 
CHOLBP.jpg
 
Waungwana hakuna haja ya kufurahia kifo cha mtu, Mungu pekee ndo ana mamlaka ya kutoa na kutwaa uhai. Kila mtu anahaki ya kuishi maisha ya furaha.
 
Kosa alilofanya Mushi hata Munisi amelirudia! kumucha 'mhusika mkuu' hai na kuua wengine!:disapointed:
Nadhani wananusurika ili wajifunze. Wakifa hawatajifunza kutokana na makosa Yao. Kauris hi na majuto Kuwa wewe ndio chanzo cha kifo cha mama, mdogo au kaka yako in adhabu tosha ya kukufanya usirudie kosa.
 
Nadhani wananusurika ili wajifunze. Wakifa hawatajifunza kutokana na makosa Yao. Kauris hi na majuto Kuwa wewe ndio chanzo cha kifo cha mama, mdogo au kaka yako in adhabu tosha ya kukufanya usirudie kosa.

na wanaokufa wanakuwa WAMEKUFA KWA MAKOSA YA WENZAO,SIO!!???ni upumbavu mtupu kuuwa kiwasababu ya usaliti wa mapenzi,tena basi asiuawe aliesaliti, wanauwa ndugu!na kama lengo ni funzo,why do they shoot themselves!!????

COWARDS!!!!!!
 
Alpha ni mwanaume na alifariki jana pia ni kaka mdogo wa XTina. usichanganye hope uneelewa

Alpha ni SHE.....mdogo wa tina..alifariki juzi...na Francis ni shemeji yao..
 
da nadhan huyu demu ingawa katoka hatasahau usaliti wake unaweza sababisha nini!!! kakosa kote kote sasa tuone nani atamtaka tena!!! wanawake acheni tamaa!!!
 
Back
Top Bottom