SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Majasusi watatu wa Mosad wamekamatwa kama panya na wanaintelijensia wa Iran na Taliban katika operesheni maalum ya kuimarisha ulizni baina ya mataifa hato katika milima iliyo mpakani mwa Iran na Afghanistan.
Inaaminika majasusi hao wa kizayuni walikuwa wamepanga kufanya shambulizi la kigaidi kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drones) kutokea Afghanistan kwenda Iran.
Majasusi hao watasafirishwa kuelekea Tehran kwenda kujibu mashkata yanayowakabili
"Reast in peace Mosad agents"
That's all I can say.
Chanzo: Iran Obsever
Inaaminika majasusi hao wa kizayuni walikuwa wamepanga kufanya shambulizi la kigaidi kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drones) kutokea Afghanistan kwenda Iran.
Majasusi hao watasafirishwa kuelekea Tehran kwenda kujibu mashkata yanayowakabili
"Reast in peace Mosad agents"
That's all I can say.
Chanzo: Iran Obsever