Majanga Simba SC!!!

Majanga Simba SC!!!

Kwa dhambi aliyoifanya Rage kupeleka timu kijijini eti kumzuia Dr Slaa asipate watu, mwaka huu simba itambulia nafasi ya tano kama siyo kukuoswa kushuka daraja.

ahahah....Nina hakika Rage kakusoma kwa "neno" la leo ulilompa. kazi kwake kulifanyia kazi.
 
Sitegemei kwa timu ambayo ni kubwa kama simba kufanya makosa katika hili. Viongozi walikuwa wapi muda wote?

Walikuwa busy kupanga mbinu na Mwigulu ili kukwamisha mkutano wa CHADEMA..Kama hadi Mwigulu kaingia ndani ya Simba.... kwisha habari yao..
 
Pata simu aina ya htc wildfire new kwa laki na themanini pia zimauzwa aina zote za simu mawacliano ni 0719182848 ili upate hbr moto moto
 
Back
Top Bottom