kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,685
Wakati wakivunja mashine, baadhi ya madereva wa bodaboda walikuwa wameanza kurejea katika eneo hilo, ndipo walipobaini na kuanza kukusanyika, lakini majambazi hao baada ya kuona wananchi na madereva wa bodaboda wakikusanyika kwa kasi, walikimbia kabla ya polisi hawajafika kwenye tukio. Hawakuchukua kitu.
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo alisema uvamizi huo ulifanyika saa nane kasoro usiku WAKATI HUO UMEME ULIKUWA UMEKATIKA TANGU SAA TANO USIKU
Source: MWANANCHI
Mmoja wa wakazi wa eneo hilo alisema uvamizi huo ulifanyika saa nane kasoro usiku WAKATI HUO UMEME ULIKUWA UMEKATIKA TANGU SAA TANO USIKU
Source: MWANANCHI