mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Majambazi yavamia duka la vileo maeneo ya Hurumzi Mjini Zanzibar na kuwapiga risasi wauzaji waliokuwemo ndani. Source: Zenj Fm Breaking news.
hayo majambazi yalipora kitu chochote au yalikwenda kutwanga risasi tu?Mkuu mimi sipo katika tukio, na nimezipata hizi habari kwa ufupi tu, kuna wafanya biashara wa vileo wamevamiwa na majambazi na kutwangwa risasi na sasa wapo hospitali ya Mnazi mmoja, kwa hiyo sina taarifa kamili kama una jamaa zako pale Unguja wapigie simu wakupe full datas. Mimi nadhani hao ni 'MUUNGANO-HARAM' wameshachoshwa na hii kadhia sasa wanaonyesha hisia zao kwa Vitendo!
MUUNGANO-HARAM ndio nani??Mkuu mimi sipo katika tukio, na nimezipata hizi habari kwa ufupi tu, kuna wafanya biashara wa vileo wamevamiwa na majambazi na kutwangwa risasi na sasa wapo hospitali ya Mnazi mmoja, kwa hiyo sina taarifa kamili kama una jamaa zako pale Unguja wapigie simu wakupe full datas. Mimi nadhani hao ni 'MUUNGANO-HARAM' wameshachoshwa na hii kadhia sasa wanaonyesha hisia zao kwa Vitendo!