Majambazi wamevamia mlimani city

Majambazi wamevamia mlimani city

HIMLER

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
429
Reaction score
227
Nimeskia wazee wa kazi wameingia hapo kuchukua hela zao
 
umesikia wapi?kumbe hauna uhakika!!!?
 
Habari zisizokuwa na nyama hazitafuniki!!
 
Pdidy ndio huwa karibu na matokeo. Kaka tupe updates.
 
Last edited by a moderator:
Hivi ukiwa huna uhakika na jambo flani ni lazima ulopoke? au umetoka ndotoni?
 
inabidi muelewe maana ya tetesi……..
kama kuna mtu athibitishe tukio au wakanushe na sio matusi na dharau
 
Back
Top Bottom