Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Utamkamata VIP adui aleshika bunduki et kwaajili ya upelelez huku akili ya jambaz sikuzote ni kufa au kupona ,angekubali VIP ashikwe na askari eti kwa ajili ya upelelez huku silaha anayo c wangefyatua sasa apo askari wangewashika VIP. Uwezi mtisha kwa mawe adui aleshika bunduki ila wote hutishana wakiwa na bunduki

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Naona maruweruwe tu, sijui kwanini, lakini sitaki kucomment kuhusu kuwapongeza Jeshi la polisi au vipi maana:
1.Walishindwa nini kumkamata mmojawapo akasaidia Jeshi kufahamu nani yupo nyuma yao??

2.Hakuna hata miili inaonyeshwa au any vivid evidence ?

3.Polisi wetu ni makini na wana mafunzo kiasi majambazi 13 wa kiwango cha Kibiti wanaweza kufyatua kupambana na asipate hata jeraha yeyote?

4.Jeshi la polisi halijashtuka namna silaha zote hizo za kivita zinatumika na hao majambazi?? Kwanini wasifunguliwe mashtaka hata mmojawapo ikibidi angekamatwa?

Yaani Bongoland full maruweruwe,but my instincts tells me something is going on,too much faking

Sent From Kisana Kiki Iphone
Nenda muhimbili kama unahitaji kuiona miili... Watu wa ajabu sana.. Iwapo polisi waneiweka miili hadharan mngesema haki za marehemu zimekiukwa...
 
  • Thanks
Reactions: Ok9
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
duuh kweli wabongo shida sa ulitaka wafanyajwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGP ndani ya uwanja wa mapambano.
Hongera sana Siro, yumkini wewe ni polisi wa wito.
Sijawahi kuona mkuu yeyote wa jeshi lolote kushiriki vita 'field', bali hupiganisha vita maofisini wakiplani na si kwa kwenda kujichanganya mstari wa mbele kujenga ari na morali wa wafuasi wao wa chini kama alivyofanya kamanda Siro.
Hapo tungesikia "nimetuma vijana wangu"
Huwa hakuna uwezekano wa wao kujeruhiwa, kuyekwa ama kuuawa, wakifia kazi yao ya kiapo.
Wao huishi salama maisha yao yote hadi wanapokufa uzeeni.
Picha hii ya mkuu wa jeshi kuonekana uwanja wa mapambano ni mapinduzi makubwa ndani ya jeshi la polisi na ni mfano wa kuigwa kwenye majeshi mengine pia.
Kwenye vyuo vyao vya uongozi na ukamanda hufundishwa na kuelekezwa kuwa, kwenye kazi hatarishi, hasa ihusuyo utapia roho, kamanda hustahili kazi hiyo kuisimamia yeye mwenyewe na si kukasimisha kwa kiongozi mwingine yeyote wa chini yake, hadi kuhakikisha kazi hiyo imemalizika.
Kwa hakika kamanda Siro umeonesha njia sahihi ya utendaji uliotukuka wa kamanda.

Ameenda kugakua baada ya action. Hakuwepo field wakati wa 'majibizano ya risasi'.
 
Kuna watu walikamatwa wapo wengi tu ndio wanawataja.....hao!!! Kwa sasa wana ushahidi na wanajua kila kitu juuu yao!! Ni suala la timing tu kwa sasa!! Ushahidi umeshkamilika mud mrefu sana! Wana watu wa kutosha sana kuwapa ushahidi!!

Kusema kwamba polisi 'wanajua kila kitu' ni uongo. Hata taarifa ya Kamanda Sirro inaonesha wazi kwamba polisi bado wanaomba/wanatafuta taarifa kuhusu matukio ya ujambazi na mauaji huko Kitibi, Mkuranga, Ikwiriri.
 
Ndugu, haya mambo yanakwenda hatua kwa hatua. Me naamini katika wafu 13, kuna waliopona na wapechukuliwa na vyombo vya usalama kwa mahojiano/uchunguzi zaidi. Watataja tu na kambi nyingine za wenzao zilipo. Ila polisi wakisema wamekamata majambazi/magaidi, mtaanza na habari zenu za HAKI ZA BINADAMU. Usalama hawawezi kutoa taarifa zote, nenda popote ulimwenguni. So, tulia ndugu. Utasikia tu kambi nyingine imefumuliwa muda utakapowadia.

Big up sana Sirro & Co.
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Kwahy ulitaka police ndio wauwawe baada ya majibishano ya risasi na wahalifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mie bado nasubiri motive ya hicho kikundi cha MKIRU. Hadi sasa serikali imeweka 3 motives; dini (JPM na Mwigulu wamehusisha na mashehe wa uamsho), siasa (CUF/CHADEMA wamehusishwa kwa nyakati tofauti na ugaidi. Sasa serikali ituwekee na ushahidi which is which motive sie wananchi tuishike maana kwa kila motive moja ambayo serikali imeitaja ina socio-economic and security impact zake

Ndugu,IGP Alipokuwa Kagera kajikuta katamka " mipango ya kuua huko KIBITI wanaifanyia kwenye NYUMBA ZA KUABUDIA",video iko YOU TUBE.

Soma hii thread niliuliza kuhusu hiyo kauli yake ya KAGERA ALIMAANISHA NINI

IGP anamaanisha nini juu ya kauli hii?

lakini hii kauli kwenye ripoti rasmi wanairuka ruka binafsi sijaisikia kama kuna aliyeisikia atusaidie hapa, wanaiongea pembeni kiuoga uoga, kwa wenye akili mtajua tu sio KWELI ni kama wanajaribu kuchomeka chomeka ili waone mtaipokeaje, mkiikubali ndio itakuja kutamkwa RASMI,

UONGO hata uutengeneze vipi mwisho wa siku hauwezi kuwa KAMILI bila NYUFA,

Hatuungi mkono matukio mabaya yoyote kama haya ya KIBITI, lakini pia hatuungi mkono hoja za kichukichuki zinazotaka kupandikizwa tena bila mashiko.
 
Ndugu,IGP Alipokuwa Kagera kajikuta katamka " mipango ya kuua huko KIBITI wanaifanyia kwenye NYUMBA ZA KUABUDIA",video iko YOU TUBE.

Soma hii thread niliuliza kuhusu hiyo kauli yake ya KAGERA ALIMAANISHA NINI

IGP anamaanisha nini juu ya kauli hii?

lakini hii kauli kwenye ripoti rasmi wanairuka ruka binafsi sijaisikia kama kuna aliyeisikia atusaidie hapa, wanaiongea pembeni kiuoga uoga, kwa wenye akili mtajua tu sio KWELI ni kama wanajaribu kuchomeka chomeka ili waone mtaipokeaje, mkiikubali ndio itakuja kutamkwa RASMI,

UONGO hata uutengeneze vipi mwisho wa siku hauwezi kuwa KAMILI bila NYUFA,

Hatuungi mkono matukio mabaya yoyote kama haya ya KIBITI, lakini pia hatuungi mkono hoja za kichukichuki zinazotaka kupandikizwa tena bila mashiko.
Je, kosa liko wapi kusema mipango inafanyikia kwenye nyumba za kuabudia? Ikiwa ni kweli inafanyikia huko ulitaka aseme inafanyikia Tandale Uwanja wa Fisi. Ulitaka aogope kutamka NYUMBA ZA KUABUDIA au? Watu wa usalama wako kila mahali, makanisani, miskitini, nyumba za wabudha kule K/koo, masokoni, airport n.k. So, taarifa wanazo. Hajajikuta katamka, bali alipanga kutoa ripoti kama ilivyotoka.
 
Ndugu, haya mambo yanakwenda hatua kwa hatua. Me naamini katika wafu 13, kuna waliopona na wapechukuliwa na vyombo vya usalama kwa mahojiano/uchunguzi zaidi. Watataja tu na kambi nyingine za wenzao zilipo. Ila polisi wakisema wamekamata majambazi/magaidi, mtaanza na habari zenu za HAKI ZA BINADAMU. Usalama hawawezi kutoa taarifa zote, nenda popote ulimwenguni. So, tulia ndugu. Utasikia tu kambi nyingine imefumuliwa muda utakapowadia.

Big up sana Sirro & Co.
Je, kosa liko wapi kusema mipango inafanyikia kwenye nyumba za kuabudia? Ikiwa ni kweli inafanyikia huko ulitaka aseme inafanyikia Tandale Uwanja wa Fisi. Ulitaka aogope kutamka NYUMBA ZA KUABUDIA au? Watu wa usalama wako kila mahali, makanisani, miskitini, nyumba za wabudha kule K/koo, masokoni, airport n.k. So, taarifa wanazo. Hajajikuta katamka, bali alipanga kutoa ripoti kama ilivyotoka.


Soma uelewe usikurupuke, suala ni kuwa ATAMKE WAZI kwenye RIPOTI.

Hakuna hata ripoti moja RASMI wamesema NYUMBA ZA KUABUDIA.

Lakini pembeni pembeni ndo wanaongea ongea kama ni kweli si waseme tu kwa KUJIAMINI
 
Back
Top Bottom