National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,174
- 56,212
Kuna siasa zimeingia hapo tayari
Nani kakuambia udiver unahitaji degreeKumbe serikali bado inaajiri std 7.? Ingefaa wamuulize anataka nini siyo kukurupuka kumpeleka jeshini wakamsumbue akimbie.
Wacha wapoteze pumzi zaoNaona raia wanabishana na mamlaka ya Rais kwa mujibu wa katiba...
Na ikawe heri kwake
Kama kitengo cha maji kipo nashauri ajiunge hukoAtaingizwa katika uokozi kitengo cha kwenye maji tatizo lipo wapo?