Ni kwa ajili ya kupinga uamuzi wa Rais Mohammed Mursi kujilimbikizia mamlaka makubwa kwa kupitisha decree inayominya mamlaka ya Mahakama dhidi ya maamuzi yake!
Source: BBC.
My take: Kwa Tanzania Majaji kuungana na Wananchi kuitisha mgomo ni jambo gumu sana hata kama uhuru wao ukiminywa!
Ni kwa ajili ya kupinga uamuzi wa Rais Mohammed Mursi kujilimbikizia mamlaka makubwa kwa kupitisha decree inayominya mamlaka ya Mahakama dhidi ya maamuzi yake!
Source: BBC.
My take: Kwa Tanzania Majaji kuungana na Wananchi kuitisha mgomo ni jambo gumu sana hata kama uhuru wao ukiminywa!