Maisha yangu ughaibuni

Maisha yangu ughaibuni

twende wote

Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
50
Reaction score
84
Ilikuwa miaka ya 97 wakati naingia kidato Cha kwanza ktk shule moja ya tech,iliitwa yombo. Maeneo ya vituka, nawakumbuka mwl wangu moja aliitwa mafwili, na lufumbo

Dah hapo nagusia kabla sijaachana na shule kuelekea ughaibuni, Safari yangu ya kwanza ilianzia dar kuelekea south, nilipewa Ada yangu ya shule wakati huo ilikuwa 116k kwa day km sikakosea, nilikaa na Ada wakati tayari wapo machizi wangu wakisoma bagamoyo tukisubiri mchongo wa Safari

Siku ya Safari tulitoka dar kwa express train ya Zambia tazara, wakati tukiwa na temporary paspot za karatasi,na poker money km TSH 80, huuuu mpk Zambia, tukaisaka boda ya Zimbabwe, huu kimbembe ni kuuvuka mto Limpopo, dah mamba wengi

Kuna wataalam wa kuvusha watu unalipia km TSH 10, kwa wakati huu, wakati tuko njiani, Mara Wana Kijiji wakastuka kwamba sisi ni wageni, wakaanza kutuhoji, tukashindwa kujibu wakaanza kutufukuza na viboko juu, huku wakisema chikara wale chikara wale, sijui walimaanisha nini

Basi, mwishowe walirudi tukasonga tukavushwa na wenyeji, Mara paap joburg hii hapa

Dah ki fupi ni jiji zuri Sana watoto wazuri, chakula Cha waziri anakula hata machinga, nyama ya kuku ndio Bei rahisi km dagaa bongo

Basi tukaingia mtaani na jamaa yangu aliitwa Roby mtoto wa Kota tazara, tulianza biashara ya matunda na pipi, ilikuwa inalipa, unavaa vizuri,unakula vizuri, inalipa Kodi ya nyumba, Mimi sio mzuri ktk kuelezea lakini nivumilie kama utapenda, ntaeleza hatua kwa hatua,mpaka Safari yangu ya Sweden na leo ni raia wa Canada, kuwa mvumilivu kidogo.

Stay tuned
 
eti kuvushwa hapo kwenye mamba Tsh 10, afu wakati wapo njiani wanakijiji wakastuka kwamba wao ni wageni wakaanza kuwahoji huku wanawakimbiza na viboko juu.

Aisee mkuu mamba mliwakalia au mliwabeba mkakimbia nao huku na nyie mmebebwa mnavushwa kwenye mamba?

Tuache kidogo hujatufanyia poa.
 
eti kuvushwa hapo kwenye mamba Tsh 10, afu wakati wapo njiani wanakijiji wakastuka kwamba wao ni wageni wakaanza kuwahoji huku wanawakimbiza na viboko juu.

Aisee mkuu mamba mliwakalia au mliwabeba mkakimbia nao huku na nyie mmebebwa mnavushwa kwenye mamba?

Tuache kidogo hujatufanyia poa.
 
Wakati tunaingia joburg na jamaa yangu Roby, tuliishi mtaa wa waswahili, usumbufu mwingi,wakati huo Mimi darasa langu la form 1 liko kichwani, nikamwambia mshikaji hili jiji kubwa, biashara ya matunda ngumu, Basi wadau wa michongo wakanistua,usiondoke komaa tupate kwanza permit ya ukimbizi

Basi nilimsikiliza tukafatilia permit,maana hapo paspot ni karatasi ilishakuwa flushed ili kupoteza utaifa, Basi tukaingia migration, tukaji submit kwa afsa mmoja,bana sisi tunatoka Burundi hapA tunahitaji hifasdhi, maswali yakawa mengi Sasa, kwa uzuri kulikuwa na option km una sent kidogo unaweka mwanasheria Ana kusimamia shauri lako mpk unapata hyo permit

Zoezi Hilo baadae unafika unaulizwa bendera ya nchi yako Ina rangi ngapi, entry points za nchi yako, national anthem ya nchi yako,huwez amini vijana wanajiandaa, hakuna aliefeli, HAKIKA penye Nia njia ipo, Basi story short, baada ya miezi 3 tulipata permit za ukaazi km wakimbizi.
 
Wakati tunaingia joburg na jamaa yangu Roby, tuliishi mtaa wa waswahili, usumbufu mwingi,wakati huo Mimi darasa langu la form 1 liko kichwani, nikamwambia mshikaji hili jiji kubwa, biashara ya matunda ngumu, Basi wadau wa michongo wakanistua,usiondoke komaa tupate kwanza permit ya ukimbizi, Basi nilimsikiliza tukafatilia permit,maana hapo paspot ni karatasi ilishakuwa flushed ili kupoteza utaifa, Basi tukaingia migration, tukaji submit kwa afsa mmoja,bana sisi tunatoka Burundi hapA tunahitaji hifasdhi, maswali yakawa mengi Sasa, kwa uzuri kulikuwa na option km una sent kidogo unaweka mwanasheria Ana kusimamia shauri lako mpk unapata hyo permit,
Zoezi Hilo baadae unafika unaulizwa bendera ya nchi yako Ina rangi ngapi, entry points za nchi yako, national anthem ya nchi yako,huwez amini vijana wanajiandaa, hakuna aliefeli, HAKIKA penye Nia njia ipo, Basi story short, baada ya miezi 3 tulipata permit za ukaazi km wakimbizi,
Duuh ila huu uandishi mkuu ni hatari sana. Jaribu basi kua walaj unaandika kwa aya. Aya moja unaelezea tukio flani likiisha unaingia aya nyingine unaelezea tukio jingine.

Na pia andika kwa ureefu tu hakuna anaekukimbiza umalizie story, andika kwa kutulia tuu.
 
Najua utaombwa usaidie wengine wafike kwenu, ikitokea kuna raia yeyote kakufuata PM ili umsaidie aje huko kwenu Canada, msaidiane huku jukwaani sio huko ndani (pm) ili iwe faida kwa wengine, na watu wasiwe na hofu ya kupigwa.
 
Wakati tunaingia joburg na jamaa yangu Roby, tuliishi mtaa wa waswahili, usumbufu mwingi,wakati huo Mimi darasa langu la form 1 liko kichwani, nikamwambia mshikaji hili jiji kubwa, biashara ya matunda ngumu, Basi wadau wa michongo wakanistua,usiondoke komaa tupate kwanza permit ya ukimbizi

Basi nilimsikiliza tukafatilia permit,maana hapo paspot ni karatasi ilishakuwa flushed ili kupoteza utaifa, Basi tukaingia migration, tukaji submit kwa afsa mmoja,bana sisi tunatoka Burundi hapA tunahitaji hifasdhi, maswali yakawa mengi Sasa, kwa uzuri kulikuwa na option km una sent kidogo unaweka mwanasheria Ana kusimamia shauri lako mpk unapata hyo permit

Zoezi Hilo baadae unafika unaulizwa bendera ya nchi yako Ina rangi ngapi, entry points za nchi yako, national anthem ya nchi yako,huwez amini vijana wanajiandaa, hakuna aliefeli, HAKIKA penye Nia njia ipo, Basi story short, baada ya miezi 3 tulipata permit za ukaazi km wakimbizi.
Mitaa ya wa waswahili ndo ipi hiyo joberg
 
Wakati tunaingia joburg na jamaa yangu Roby, tuliishi mtaa wa waswahili, usumbufu mwingi,wakati huo Mimi darasa langu la form 1 liko kichwani, nikamwambia mshikaji hili jiji kubwa, biashara ya matunda ngumu, Basi wadau wa michongo wakanistua,usiondoke komaa tupate kwanza permit ya ukimbizi

Basi nilimsikiliza tukafatilia permit,maana hapo paspot ni karatasi ilishakuwa flushed ili kupoteza utaifa, Basi tukaingia migration, tukaji submit kwa afsa mmoja,bana sisi tunatoka Burundi hapA tunahitaji hifasdhi, maswali yakawa mengi Sasa, kwa uzuri kulikuwa na option km una sent kidogo unaweka mwanasheria Ana kusimamia shauri lako mpk unapata hyo permit

Zoezi Hilo baadae unafika unaulizwa bendera ya nchi yako Ina rangi ngapi, entry points za nchi yako, national anthem ya nchi yako,huwez amini vijana wanajiandaa, hakuna aliefeli, HAKIKA penye Nia njia ipo, Basi story short, baada ya miezi 3 tulipata permit za ukaazi km wakimbizi.
Sehemu ya tatu,
Samahani atakae taka niendelee asome, Mimi nishasema sio mwandishi mzuri,
Ok,baada ya kupata permit ya ukaazi tulijitenga, mi nikaenda cape Town, Roby akabaki joburg, namshukuru Mungu malezi ya utotoni yalinisaidia kumudu maisha ya sauz, maana kuingia ktk ulevi wa madawa no kugusa tu,kwa maana yapo anywhere, anytime just yo cash..
Basi jamaa yangu Roby tunavoongea ni Teja Ila kwa Sasa anapata ahueni, baada ya kutoka gerezani,ambako alitumikia miaka 7.
Baada ya kuwa cape Town ki ukweli nilipata mwanamke wa umri wa mama yangu, lakn ni shida ndo zilipelekea kuingia ktk mahusiano, lakn sio poa kuoa mzee kisa njaa, ni jela huru uraiani,..
Basi nimekaa na mama huyo miaka 2 na tulipata mtoto wa kiume, wakati tuko na familia mke wangu alikuwa mfanyabiashara, akienda Sweden na kuleta vipuri mbalimbali vya kitambo na magari,Mimi nilikuwa msambazaji wa Oda ktk maofisi ya watu,,
Ilipofika mwaka 2008 tayr niliweza kupata vigezo vya kumiliki paspot ya sauzi, baada ya kupata hiyo pasi niliona tayr malengo yangu yanaenda kutimia, maana Mimi ndoto yangu haikuwa kuishi sauzi,Toka Niko mdogo nawaza Safari ya mtoni,..
Nitaendelea baadae,Ila wakatisha tamaa pungueni
 
Sehemu ya tatu,
Samahani atakae taka niendelee asome, Mimi nishasema sio mwandishi mzuri,
Ok,baada ya kupata permit ya ukaazi tulijitenga, mi nikaenda cape Town, Roby akabaki joburg, namshukuru Mungu malezi ya utotoni yalinisaidia kumudu maisha ya sauz, maana kuingia ktk ulevi wa madawa no kugusa tu,kwa maana yapo anywhere, anytime just yo cash..
Basi jamaa yangu Roby tunavoongea ni Teja Ila kwa Sasa anapata ahueni, baada ya kutoka gerezani,ambako alitumikia miaka 7.
Baada ya kuwa cape Town ki ukweli nilipata mwanamke wa umri wa mama yangu, lakn ni shida ndo zilipelekea kuingia ktk mahusiano, lakn sio poa kuoa mzee kisa njaa, ni jela huru uraiani,..
Basi nimekaa na mama huyo miaka 2 na tulipata mtoto wa kiume, wakati tuko na familia mke wangu alikuwa mfanyabiashara, akienda Sweden na kuleta vipuri mbalimbali vya kitambo na magari,Mimi nilikuwa msambazaji wa Oda ktk maofisi ya watu,,
Ilipofika mwaka 2008 tayr niliweza kupata vigezo vya kumiliki paspot ya sauzi, baada ya kupata hiyo pasi niliona tayr malengo yangu yanaenda kutimia, maana Mimi ndoto yangu haikuwa kuishi sauzi,Toka Niko mdogo nawaza Safari ya mtoni,..
Nitaendelea baadae,Ila wakatisha tamaa pungueni
Ebwana eeeeh! Form one ulikuwa n umri gani? Au ndio kama mm tu vile nilikiwa na miaka 13

Ulitumia mda gani safarini mpaka sauzi? Kwamba ulifika ukapata jimama ukiwa kati ya miaka 13-16

Duh! Hii chai mimi nitaugua kisukari buree umekoleza sana sukari mkanada
 
Back
Top Bottom