Maisha yanampiga lakini kila siku anazaa

Maisha yanampiga lakini kila siku anazaa

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,060
Wakuu mimi sielewi

Nina mshikaji wangu mmoja kila tukikutana ni vizinga plus analalamika maisha magumu. Ni jamaa yangu classmate etc ila mpaka muda huu ana watoto wa 3, leo nmekutana naye tena ananambia mkewe ana mimba. Nikasema 'bro are u serious?'. Eti anajibu, Ndio bro nishasababisha tena huku anacheka.

Sasa najiuliza, na jua hili kali na hali yake kiuchumi why anafanya hivyo? Au ndio anaamini mtoto analeta riziki?

Unajua sielewi kabisa yaani, au labda nakosea wakuu?

Uzi tayari

1646657020485.png
 
Acha tuzaane wakuu shida iko wapi kama kula vitakula TU me mwemyewe demu wangu mjamzito Kuna kadada ninakaanacho mtaani eti kanasema hakana haraka ya kuzaa mpaka kajipange kwanza.

Maisha haya kujipangaje wakati uchumi wa dunia wenyewe hauleweki Mara upigwe na Corona Mara Vita ya East na west block.maisha hayana hio pesa zinakuja na kupotea hakuna mwenye UHAKIKA

MKIITAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI
 
Acha tuzaane wakuu shida iko wapi Kama kula vitakula TU me mwemyewe demu wangu mjamzito Kuna kadada ninakaanacho mtaani eti kanasema hakana haraka ya kuzaa mpaka kajipange kwanza...maisha haya kujipangaje wakati uchumi wa dunia wenyewe hauleweki Mara upigwe na Corona Mara Vita ya East na west block.maisha hayana hio pesa zinakuja na kupotea hakuna mwenye UHAKIKA



MKIITAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI
Kuzaa ovyo ni dalili ya kurudisha mira kwa kipa
 
Kwa hyo ww unaogopa kuzalisha kisa tu maisha Ni magumu.

Skia; ugumu wa maisha Ni ule ule tangu uko mdogo mpaka leo umekua.

Na katu hali haitaweza kubadilika kwa unafuu huo unaoufikiria ww acha mwanao afyatue Wenda ndio ikawa Ni nguvu na hamasa ya yeye kupambana.ila kwa hapo wa4 afunge uzazi apambane na malezi,ninaamini kwa umri alionao bado nguvu ya kupambana anayo sema tu apunguze kulia kwa Wana wanaomcharazia ukiwemo na ww.
 
Kwa hyo ww unaogopa kuzalisha kisa tu maisha Ni magumu.
Skia; ugumu wa maisha Ni ule ule tangu uko mdogo mpaka leo umekua.
Na katu hali haitaweza kubadilika kwa unafuu huo unaoufikiria ww.acha mwanao afyatue Wenda ndio ikawa Ni nguvu na hamasa ya yeye kupambana.ila kwa hapo wa4 afunge uzazi apambane na malezi,ninaamini kwa umri alionao bado nguvu ya kupambana anayo sema tu apunguze kulia kwa Wana wanaomcharazia ukiwemo na ww.
Mkuu.. si kwel.. kwamba et shida zilikuepo na ztaendelea kuwepo? Hapana si kwel.. ku overcome financial crisis inawezekana mbona
 
Mkuu.. si kwel.. kwamba et shida zilikuepo na ztaendelea kuwepo? Hapana si kwel.. ku overcome financial crisis inawezekana mbona
Kwa taarifa yako watu wengi Sana wanafilisika kila siku ila sio sababu ya wao kuacha kupambana kwa ajili ya familia zao.
 
Back
Top Bottom