Maisha yako yote hakikisha haukosi watu hawa

Maisha yako yote hakikisha haukosi watu hawa

jamaikatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
369
Reaction score
1,252
Maisha yako yote hadi unakufa hakikisha haukosi watu hawa;

1. Mwanasheria
2. Daktari
3. Polisi
4. Mwanajeshi
5. Mtu wa IT
6. Dalali
7. Misheni town
8. Mchungaji/shekh
9. Mtu anaye wajua watu (connection)
10. Michepuko
Wanaokoa sana watu hawa

Nb. Ongeza na wewe wa kwako
 
Huyo kiatu namba tatu mtoe kabisa huyo likikukuta la kukuta honga achana nao hao.

Nilikuwa na mmoja nikamuona wa maana kumbe snitch ananikamatisha kwa wenzie natoa hela wanaenda kugawana chamber,mpaka mmoja wake nae akaniambia fulani ndiye anatuelekezaga so hata wenyewe kwa wenyewe wananafikiana.
 
Maisha yako yote hadi unakufa hakikisha haukosi watu hawa
👇👇
1.mwanasheria
2.daktari
3.polisi
4.mwanajeshi
5.mtu wa IT
6.dalali
7.misheni town
8.mchungaji/shekh
9.mtu anaye wajua watu(connection)
Michepuko
Wanaokoa sana watu hawa

Nb.Ongeza na wewe wa kwako
Ukiwa tuu na mtu wa connection mmja hao wote utawapata.
 
Huyo kiatu namba tatu mtoe kabisa huyo likikukuta la kukuta honga achana nao hao.

Nilikuwa na mmoja nikamuona wa maana kumbe snitch ananikamatisha kwa wenzie natoa hela wanaenda kugawana chamber,mpaka mmoja wake nae akaniambia fulani ndiye anatuelekezaga.
Sasa kama unauza bangi hadharani unataka akuangalie tuu
 
Maisha yako yote hadi unakufa hakikisha haukosi watu hawa
👇👇
1. mwanasheria
2. daktari
3. polisi
4. mwanajeshi
5. mtu wa IT
6. dalali
7. misheni town
8. mchungaji/shekh
9. mtu anaye wajua watu(connection)
Michepuko
Wanaokoa sana watu hawa

Nb.Ongeza na wewe wa kwako
Mungu! hakuna binadamu anaweza kushindana naye!
 
Huyo kiatu namba tatu mtoe kabisa huyo likikukuta la kukuta honga achana nao hao.

Nilikuwa na mmoja nikamuona wa maana kumbe snitch ananikamatisha kwa wenzie natoa hela wanaenda kugawana chamber,mpaka mmoja wake nae akaniambia fulani ndiye anatuelekezaga so hata wenyewe kwa wenyewe wananafikiana.
Yeah hasara zao ni nyingi kuliko faida ni bora uwatafute muda huohuo unapokuwa na shida ukiwa na hela huwezi kuwakosa
 
Maisha yako yote hadi unakufa hakikisha haukosi watu hawa
👇👇
1. mwanasheria
2. daktari
3. polisi
4. mwanajeshi
5. mtu wa IT
6. dalali
7. misheni town
8. mchungaji/shekh
9. mtu anaye wajua watu(connection)
Michepuko
Wanaokoa sana watu hawa

Nb.Ongeza na wewe wa kwako
Kwenye familia yetu no. 1 ,2, 5,6,7,9 hao wapo namba ambazo sijazitaja mtusameheee kweriiiii kweriiiii 😂😂😂
 
Back
Top Bottom