Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 1,290
- 2,829
Pombe isiyotoa akiliMvinyo halali ni kama upi?
Pombe isiyotoa akiliMvinyo halali ni kama upi?
Sawa mkuu,Uhakika ni kwamb ipo siku tutakusanywa na hapo utaelewa nani alikuwa mjinga kati ya wewe na waislamHakuna watu wajinga kama Waislamu
Huyo Allah, Alishindwaje kuwapa ufahamu watu wote duniani wakamfahamu yeye siku zote na wakati wote?Kifo
Ewe Allah,mjaalie kiumbe wako huyu apate kukufahamu kwa namna yoyote ile unayoona itamfaa yeye kukufahamu.
Aamin.
Usiamini Hz tuNgo mkuu,Muhammad s.a.w hajawahi kufanya haya,hz ni tungo za maadui wa Huyu Mtume mtukufu