J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,208
Wakuu nipo sehemu maeneo ya dar hapa ,nafanya kazi moja ya serikali leo ni siku ya tatu ,nimechukua na chumba maana nitakaa karibia miezi miwili,kutoka hapa nilipo mita chache wanapiga mziki hatari,nimeshindwa hata kulala,maana huo mdundo wake usipime
Nimetoka nje maana ndani huwezi kulala kwa huu mdundo,kweli maisha ya uswazi wamezoea waswazi wenyewe,ila wana mademu wakali mpaka roho inatamani,na mimi kuparamia hapana,nimekaa tu hapa naona wanavyoburudika na mziki wao,
Maisha ya uswazi wanaweza wao,
Nimeshapachoka huku ni bora hii kazi nimalize mapema niondoke maana huku hapana.
Wenye uswazi wao ndo maisha ya uswazi haya? Ebu njooni hapa kwa hizi kelele mnalalaje ili nipate na mimi uzoefu jamani
Nimetoka nje maana ndani huwezi kulala kwa huu mdundo,kweli maisha ya uswazi wamezoea waswazi wenyewe,ila wana mademu wakali mpaka roho inatamani,na mimi kuparamia hapana,nimekaa tu hapa naona wanavyoburudika na mziki wao,
Maisha ya uswazi wanaweza wao,
Nimeshapachoka huku ni bora hii kazi nimalize mapema niondoke maana huku hapana.
Wenye uswazi wao ndo maisha ya uswazi haya? Ebu njooni hapa kwa hizi kelele mnalalaje ili nipate na mimi uzoefu jamani
