Pole sana dada @noella, Najua its so hard to raise a kid and most especially as a single mother.
Kwa kweli ladies labda niwashauri. If a man loves u enough lazima atatangaza ndoa! Achaneni na hao wanaume wengine wetu ambao wanaiponda ndoa takatifu na kusema wanajaribujaribu matokeo yake ni hayo mtoto then mnakuwa forced to live together then mara things are not working. Kwa nini tu usisubiri upendwe kwa haki na uzalie ndani ya ndoa?
Trust me ladies mwanaume hata akiwa player namna gani akikudondokea kisawasawa lazima atangaze ndoa ili asikukose na akumiliki kihalali....
Dada we tulia lea mwanao and there will come a man who will love you truly na utasahau kama uliwahi pata shida kwenye ndoa...Just pray, Mtoto atakuja elewa tu- kwani we ndo wa kwanza?
Jamani fungukeni rate ya watoto wanaolelewa na single parents Tanzania inaclimb sana!
Ndoa haivunjiki? hata itangazwe ndoa mwanamke kama huyu will end up in the same situation!!! ni design ya wale wanawake wa beijing ''tunaweza" "naweza type"
rate ya single mothers inakua kwa sababu wadada wamekuwa liberated wanasahau nini maana ya mwanaume
ndoa haivunjiki? Hata itangazwe ndoa mwanamke kama huyu will end up in the same situation!!! Ni design ya wale wanawake wa beijing ''tunaweza" "naweza type"
rate ya single mothers inakua kwa sababu wadada wamekuwa liberated wanasahau nini maana ya mwanaume
Dada mmepishana umri miaka mingapi usikute jamaa bado yupo foolsh age .ila pole sana kuwa na moyo wa subra
kwanza pole sana kwa yaliyokukuta,
pili hongera kwa kuchukua maamuzi magumu....
hakuna haja ya kung'ang'ania uhusiano ambao upo abusive, kama ni magomvi yasiyokwisha hapo humjengi mtoto bali unamuharibu.......
inasikitisha kuona huyo mwanaume anakimbia majukumu yake......kwa kutoa visingizio visivyokuwa na mashiko...
kama una uwezo wa kumlea mwano mwenyewe na huhitaji kumpeleka ustawi wa jamii, ni vyema dada....
kikubwa ni kumlea mwanao kwenye maadili mema, ofcourse hutoweza kuziba nafasi ya baba yake, ila utaweza kumjenga in such a way kuwa mtoto asijenge chuki kwa baba, kuwa single ni kazi, maana unachukua nafasi ya baba na mama...
just be strong kwa mtoto wako...
mpe yote atakayoyahitaji...
maadili ni muhimu sana.......
akiuliza "daddy" yuko wap[i labda umwambie kasafiri....
au atarudi....
mpaka pale utakapoona inafaa kumueleza ukweli bila kumuumiza hisi zake na bila kumjenga chuki.....
Yaani haya maisha jamani
Pole sana dada mungu ni mwema sana ..jiweke busy mjali sana mwanao .angalia maisha yako taratibu utafanikiwa na kumsahau huyo mtu asiyethamini utu wako mamy
Na mwisho wa siku utayashinda haya majaribu
Kama huyo ndo amepangwa kuwa wapo basi atakuwa wako katika mazingira mbayo hutarajii.
Na kama sio wako basi omba mungu sana akuchagulie wako wa kufanana na wewe .
Ngoja waje ma single mother wakushauri!
Ngoja waje ma single mother wakushauri!