Maisha ya Papa Francis


Usitetee uchafu Yesu hakumwambia Petro utasujudiwa kama anavyofanyiwa papa jambo lolote angelifanya Petro lakni sio kupngana na neno la Mungu
 
ganjaman labda nikuulize, we una elimu gani ya kujua ubora waswaumu ya mtu? au ganja ya leo imetoka TABORA? manake naskia ya unyamwezini usipochunga haja kubwa inaweza kudondoka
 
Papa aache uongo, kwa dunia ya sasa hilo haliwezekani, hasa kwa mtu kama yeye, TV hadi barabarani unazikwepaje, labda awe anavaa miwani ya mbao.

Mkuu tofautisha kati ya kuangalia na kuona tv!?
 

Mkuu Tafadhali Hebu Nipe Hilo Andiko " Kama Kiungo Cha Mwili Kinakusababishia Dhambi Ni Heri Uking'oe" Mi Nataka Tu Nijiridhishe Maana Kwangu Nikilifuata Hila Andiko Naweza Kung'oa Vitu Vingi Na Kubaki Kama Zombi.
 
Wa Rc wengi hawajui maandiko na kuyatafasili wao lolote atakalo sema papa kwao ni maagizo ya Mungu na kwale wenye ufahamu hukimbia kutafuta malisho mazuri au huanzisha huduma humohumo kanisani kama karismatik
 
Wa Rc wengi hawajui maandiko na kuyatafasili wao lolote atakalo sema papa kwao ni maagizo ya Mungu na kwale wenye ufahamu hukimbia kutafuta malisho mazuri au huanzisha huduma humohumo kanisani kama karismatik

We ----- unaropoka nini?,hivi ninyi ndo mnajua maandiko gani zaidi ya kukariri vimistari vichache tu kwenye bible!,Kwanza wacheki Mapadre wetu wanavyokamua Kitabu halafu linganisha na wachungaji wenu ambapo mtu akilala,akiamuka amepewa Uchungaji eti naye anajua biblia Ee booo!,Biblia imekuwa kitabu cha mchezo mchezo hivyo?.We tena ukome kurudia kauli hiyo,
 

Kwani huyo Maria alimwambia kuna madhara gani kutazama TV? Sasa kama hajui kinachiendelea huku duniani atakuwaje msaada kwa wengine? Watu wengine bana.
 

Ni kweli mapadre wamejitahidi kwenye elimu japo ni vipofu na weupe kabisa kwenye mambo ya kiroho zaidi ya mapokeo samahani sisemi kwa ubaya kwaani hata mimi nilikuwa hukohuko
 
Kwani huyo Maria alimwambia kuna madhara gani kutazama TV? Sasa kama hajui kinachiendelea huku duniani atakuwaje msaada kwa wengine? Watu wengine bana.

ndio hapo sasa mariam mwenyewe aliisha kufa kitambo wala hajui asemacho papa
 
Kwani huyo Maria alimwambia kuna madhara gani kutazama TV? Sasa kama hajui kinachiendelea huku duniani atakuwaje msaada kwa wengine? Watu wengine bana.

Huyu maria unaemuongelea hapa ni yupi?

Isije ikawa maria matias yule wa Cnn.!
 

mapadre wanajua sana maandiko tatizo hawataki kusema ukweli wa neno la Mungu,, wao wanajali matumbo yao na kuheshimu wanadamu badala ya Mungu,hapo tu ndio wameanguka.
papa mwenyewe anajua kabisa kuwa yupo kinyume na Mungu katika mambo mengi ila sasa haoni pa kuanzia ili ajinasue, shetani naye ndio anazidi kuwafumba macho mwisho wa siku anasurrender kuwa wakala wa shetani.
 

Mkuu umetoa point za nguvu hata mmoja atakaye kujibu mara ngapi tumeona Waroma wakiwatukana akina Kakobe wandhani sisi hatuumii.Majizi yote kwenye nchi hii yanatoka Rc si viongozi wa serikali wala waumini wao wote hovyo
 

Umemaliza kila kitu
 
Wa Rc wengi hawajui maandiko na kuyatafasili wao lolote atakalo sema papa kwao ni maagizo ya Mungu na kwale wenye ufahamu hukimbia kutafuta malisho mazuri au huanzisha huduma humohumo kanisani kama karismatik

Tofautisha kujua maandiko na kukariri vifungu Kama mfanyavyo nyie, kumbuka shetani ndie bingwa wa vifungu hata kuvitumia vibaya kumjaribu Bwana jangwani
 
Muongo huyo,anapataje mambo ya dunia?nyerere alikua anatuambia anaota mambo yanayotokea duniani,kumbe ana tv ndani
 
Pia anaonekana kichwani ni boksi boksi kabisa.Ushawahi kusikia papa yupo nchi kavu?Hapo uelewa wako mdogo sana.Mfinyuuu saana yana unahitaji BRN....
 
Kwani huyo Maria alimwambia kuna madhara gani kutazama TV? Sasa kama hajui kinachiendelea huku duniani atakuwaje msaada kwa wengine? Watu wengine bana.

Unajua maana ya Urahabu au Uraibu kama mleta mada alivyosema?
 
Mkuu umetoa point za nguvu hata mmoja atakaye kujibu mara ngapi tumeona Waroma wakiwatukana akina Kakobe wandhani sisi hatuumii.Majizi yote kwenye nchi hii yanatoka Rc si viongozi wa serikali wala waumini wao wote hovyo

Mtaje Askofu yeyote anayeongelea mambo ya Wapentekoste? Neno Protestant nani alilianzisha kama siyo wao waprotestant? Wakatoliki wao na mambo yao ambayo ninyi kila siku mnawananga kuwa waaangalia sanamu? una chuki binafsi na kanisa katoliki! Lowasa anayesemwa fisadi ni mkatoliki? Hao akina mzee wa upako wakitaka kuwaona wateja wao si mpaka ulipe kama vile unavyoingia kwa daktari specialist wa magonjwa ya watoto? Tunayasikia huko haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…