Ushauri please,
Umeoa mke mmeishi miaka 11 na katka maisha yenu ya ndoa mmefauru kupata watoto wawili ambao kiumri ni wakubwa kidogo wapo shule, lakini miaka ya nyuma umekuwa ukimsaliti mkeo, mala kwa mala anagundua unamuomba msamaha yanaisha, sasa imefika hatua umeamua kuacha kabisa kumcheat mkeo ili usiendelee kumuumiza, lakini wakati umeacha unagundua Yeye ndo kwanza kaanza Rasmi hashikiki kila wakati unamfuma na vimesseji vya wanaume mala wametoka kudinyana tena wanaume tofauti tofauti, katika hali kama iyo mnaamua kukaa kikao na watu wa familia yake, anafunguka kwamba mme wangu anasingizia sio kweli na hao watu wananitongoza tu mimi sina mausiano nao, unaamua kuachana na iyo issue [emoji3544] yaani unasamehe, Baada ya muda mnakaa faragha anakwambia alikataa kukubali mbele ya wanafamilia ili kulinda heshima yake lakini, zile sms zina ukweli uyo hao watu anamausiano nao lakini hajawahi kulala nao wanafukuzia tu, na anakwambia aliyewahi kulala nae ni mmoja tu, na alifanya ivyo kwasababu ya hasira, kwasababu ulimcheat mala nyingi, na anakwambia mpaka sasaiv ana ka hasira bado lakini anakuomba umsamehe anakupenda sana na umpe nafasi ya kujirekebisa,
Ukikutana na mazingira kama haya unafanyaje mwana jamii.!?
Ushauri please,
Umeoa mke mmeishi miaka 11 na katka maisha yenu ya ndoa mmefaulu kupata watoto wawili ambao kiumri ni wakubwa kidogo wapo shule, lakini miaka ya nyuma umekuwa ukimsaliti mkeo, mara kwa mara anagundua unamuomba msamaha yanaisha.
Sasa imefika hatua umeamua kuacha kabisa kumcheat mkeo ili usiendelee kumuumiza, lakini wakati umeacha unagundua yeye ndio kwanza kaanza rasmi hashikiki kila wakati unamfuma na vimeseji vya wanaume mara wametoka kudinyana tena wanaume tofauti tofauti.
Katika hali kama hiyo mnaamua kukaa kikao na watu wa familia yake, anafunguka kwamba mme wangu anasingizia sio kweli na hao watu wananitongoza tu mimi sina mausiano nao, unaamua kuachana na hiyo issue [emoji3544] yaani unasamehe,l.
Baada ya muda mnakaa faragha anakwambia alikataa kukubali mbele ya wanafamilia ili kulinda heshima yake lakini, zile sms zina ukweli hao watu anamausiano nao lakini hajawahi kulala nao wanafukuzia tu, na anakwambia aliyewahi kulala nae ni mmoja tu, na alifanya hivyo kwa sababu ya hasira.
Kwasababu ulimcheat mara nyingi, na anakwambia mpaka sasa hivi ana ka hasira bado lakini anakuomba umsamehe anakupenda sana na umpe nafasi ya kujirekebisa.
Ukikutana na mazingira kama haya unafanyaje mwana jamii.!?
Facture, ilo namimi ndo naliona la maana mwanamke kutoka nje ya ndoa ni dharau kubwa sana.Nitakachomwambia namruhusu aende akaishi kwa hao wanaume na aniache mimi peke yangu,kuhusu malezi ya watoto nitahudumia...na kinachoniunganisha naye ni watoto tu.
Wote ni wazinzi, tofauti ni mmoja ni mzinzi mwandamizi na mwingine ni mzinzi chipukizi. Ndio maana halisi ya Karma, you receive, what you give.Kushauri wazinzi kazi sana! Hapo nyote mnmhitaji Yesu
Duh hayaKusamehe inawezekana ila mwanamke akishaonja nje ni kama laana fulan inamuingia huwa hatulii na kuacha, linakuwa zoea
Facture, ilo namimi ndo naliona la maana mwanamke kutoka nje ya ndoa ni dharau kubwa sana.