Namshukuru sana mungu kwa kunipa nafasi ya kuongea nanyi kwa maandishi. Mimi ni mwanaume miaka 33, nina watoto 2, elimu yangu ni chuo.
Mwaka 2004 nilianza kazi kama Mwalimu, mwaka 2005 nikaoa.
Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana kwani kabla ya kuoana huwa kuna makubaliano mnafanya makubaliano hayo yakifikiwa huboresha ndoa, yasipo fikiwa huleta vidonda na hatimae kuvunjika kabisa, ndoa iliaoza vyema bila shida yoyote. Mimi natokea familia ya kawaida sana ambayo ina watoto 6 baba na mama wakulima tena wakawaida, mpaka namaliza kidato cha nne nilikuwa nadaiwa ada sh 115000 wakati mshahara ulikuwa 62000.
Ilibidi niingie mkopo ili kupata pesa hiyo. ugomvi ulianzia hapo na amani ya ndoa ikaisha. Kwasababu ya mazingira niliendelea kuvumilia baadae nikachoka. kuna mwanaume alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi akaendelea nae.
Mwaka 2008 nikaanza kusoma nikapata credit ugomvi ukawa mkubwa kwanini nasoma 2010. Nikaenda chuo akaamua kuondoka na sasa kaolewa na ndoa ina miezi minne.
Karibu kwa ushauri.
Mwaka 2004 nilianza kazi kama Mwalimu, mwaka 2005 nikaoa.
Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana kwani kabla ya kuoana huwa kuna makubaliano mnafanya makubaliano hayo yakifikiwa huboresha ndoa, yasipo fikiwa huleta vidonda na hatimae kuvunjika kabisa, ndoa iliaoza vyema bila shida yoyote. Mimi natokea familia ya kawaida sana ambayo ina watoto 6 baba na mama wakulima tena wakawaida, mpaka namaliza kidato cha nne nilikuwa nadaiwa ada sh 115000 wakati mshahara ulikuwa 62000.
Ilibidi niingie mkopo ili kupata pesa hiyo. ugomvi ulianzia hapo na amani ya ndoa ikaisha. Kwasababu ya mazingira niliendelea kuvumilia baadae nikachoka. kuna mwanaume alikuwa nae kabla ya kuwa na mimi akaendelea nae.
Mwaka 2008 nikaanza kusoma nikapata credit ugomvi ukawa mkubwa kwanini nasoma 2010. Nikaenda chuo akaamua kuondoka na sasa kaolewa na ndoa ina miezi minne.
Karibu kwa ushauri.