Maisha ya mwanaume ni mafupi kuliko ya mwanamke

Mr.Wenger

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
2,523
5,853
Wakuu,

Kuna utafiti usio rasmi ya kwamba maisha (life expectancy) ya mwanaume ni mafupi kulinganisha na ya mwanamke.

Kama huu utafiti una ukweli ndani yake, je nini kinaweza kuwa chanzo cha wanaume kuwa na maisha mafupi?

Ni kwa sababu tunaishi maisha hatarishi au ni mipango ya Mungu? Kuna wanaosema duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume, je hiyo nayo imechangiwa na short life expectancy kwa wanaume?

Nimejaribu kujifanyia research ndogo mimi mwenyewe nimegundua yafuatayo;

1.Mama mzazi- Mzima
2.Bibi mzaa mama-Mzima
3.Bibi mzaa baba-Mzima
4.Baba- amefariki R.I.P
5.Babu mzaa mama-amefariki R.I.P
6.Babu mzaa baba-amefariki R.I.P

Hiyo ni kwa upande wangu, vipi kwa upande wako mwanajf matokeo yakoje?

Je nini tufanye wanaume tuongeze uhai?

Kumbuka hata baba wa Taifa ametutoka Mungu amrehemu lakini mama wa taifa tunashkuru bado tupo naye.
 
Ukweli ni huu wanaume tunakasumba ya kujifanya kujikaza tukiwa na tuhoma tudogo lakini kumbe ndo tunapunguza life span tofauti na mama zetu hata akiumwa kichwa huwa wanafanya juu chini kuhakikisha anapona afu hata namna tunasolve mambo kama frustration ni chanzo wao wanaweza kulia ili kupunguza vitu kama hasira ila sisi tunajifanya wagumu kumbe tunajiathiri taratibu jingine ni wanaume wako kwenye hatari ya kufa kwa ajali maana wao ndo huwa wanasfiri sana refer selectivity of migration in terms of sex
 
Ni kweli.
Kitaalam moja ya sababu za kifo ni ongezeko la impurities (uchafu) mwilini. Uondoaji wa impurities hizi hupunguza hatari ya kifo cha mapema. Kila mwanadamu ana njia kadhaa za kutoa impurities hizi ikiwa ni pamoja na kwa njia ya ngozi (jasho), haja ndogo na kubwa. Mwanamke ana njia ya ziada: HEDHI. Lakini pia wanaume wana sababu nyingi zinazopelekea msongo wa mawazo kuliko wanawake. Hizi ni baadhi tu.
 
Kwahiyo ulitaka hao watu waishi milele wasife ama

Hujataja wamekufa kwa umri gani
Mfano babu yangu amefariki akiwa 99 lakini bibi yupo lakini tofauti ya umri kati ya babu na bibi ni 15 yrs

Mwinyi 90 yrs
Mugabe 91
Fidel Castro 90+
Mandela kafa 90+


Marais wengi wa Africa 70+,80+




Wanaume wengi hufa mapema sababu labda ya

1.vita
2.wizi "huuliwa"
3.mapigano,ugomvi
4.ajali "Bodaboda"
 
Sababu ni mbili tu
1.wanawake hawaoi akiolewa mizigo yote hubebwa na mume.
Wanaume huoa wakiwa na umri mkubwa kuliko wanawake,tunawahi kufa kwakuwa tulitangulia kuzaliwa
 
Sababu kubwa Ni KUOA . mwanaume akioa muda wake wa kuishi unapungua haraka sana. Coz maswaibu ya mule yanamuumiza mwanaume zaidi kuliko mwanamke coz hatulii so inatula ndani kwa ndani
 
Wakuu kuna utafiti usio rasmi ya kwamba maisha (life expectancy) ya mwanaume ni mafupi kulinganisha na ya mwanamke. Kama huu utafiti una ukweli ndani yake, je nini kinaweza kuwa chanzo cha wanaume kuwa na maisha mafupi? Ni kwa sababu tunaishi maisha hatarishi au ni mipango ya Mungu? Kuna wanaosema duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume,je hiyo nayo imechangiwa na short life expectancy kwa wanaume?
Nimejaribu kujifanyia research ndogo mimi mwenyewe nimegundua yafuatayo;

1.Mama mzazi- Mzima
2.Bibi mzaa mama-Mzima
3.Bibi mzaa baba-Mzima
4.Baba- amefariki R.I.P
5.Babu mzaa mama-amefariki R.I.P
6.Babu mzaa baba-amefariki R.I.P

Hiyo ni kwa upande wangu, vipi kwa upande wako mwanajf matokeo yakoje? Je nini tufanye wanaume tuongeze uhai?
Kumbuka hata baba wa Taifa ametutoka Mungu amrehemu lakini mama wa taifa tunashkuru bado tupo naye
Hakuna kitu kinacho itwa utafiti usio Rasmi kwenye ulimwengu wa kitaaluma (academics). Hizo ni hisia zako coz huwezi kuwa na variable zisizo Rasmi.
 
SABABU KUU 2
Ukirejea ktk kitabu cha Mwanzo aliyeambiwa hakika utakufa ni mwanaume na si mwanamke. Mwanzo 3:
2:Utamaduni wa ulimwengu huu umempa nguvu mwanaume ile nguvu inampa hata uhalali wa kutenda dhambi.Mfano ugoni ashikwe mwanamke inakuwa big case zaidi ya pale ashikwapo mwanaume.Na ukirejea kwenye neno la Mungu .Ezekiel 18:4,ROHO ITENDAYO DHAMBI NDIYO ITAKAYOKUFA.
NB.Wanaume tuitumie vizuri nafasi ya utawala tuliyopewa,na MUNGU
 
Wakuu kuna utafiti usio rasmi ya kwamba maisha (life expectancy) ya mwanaume ni mafupi kulinganisha na ya mwanamke. Kama huu utafiti una ukweli ndani yake, je nini kinaweza kuwa chanzo cha wanaume kuwa na maisha mafupi? Ni kwa sababu tunaishi maisha hatarishi au ni mipango ya Mungu? Kuna wanaosema duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume,je hiyo nayo imechangiwa na short life expectancy kwa wanaume?
Nimejaribu kujifanyia research ndogo mimi mwenyewe nimegundua yafuatayo;

1.Mama mzazi- Mzima
2.Bibi mzaa mama-Mzima
3.Bibi mzaa baba-Mzima
4.Baba- amefariki R.I.P
5.Babu mzaa mama-amefariki R.I.P
6.Babu mzaa baba-amefariki R.I.P

Hiyo ni kwa upande wangu, vipi kwa upande wako mwanajf matokeo yakoje? Je nini tufanye wanaume tuongeze uhai?
Kumbuka hata baba wa Taifa ametutoka Mungu amrehemu lakini mama wa taifa tunashkuru bado tupo naye

Kuna mambo mengi yanafanya wanaume wawe na maisha mafupi kuliko wanawake:

1. Kazi za risks na zenye usalama mdogo hufanywa na wanaume.. angalia kazi za ujenzi, kuendesha vyombo vya moto, kazi za migodini, vita nyingi hupiganwa na wanaume wengi kuliko wanawake
2. Life style- wanaume wengi baada ya shughuli za kila siku hupenda kutumia muda mwingi kustarehe, wakati mwingi starehe za usiku huwaweka kwenye hatari
3. Wanaume wengi hubeba mambo moyoni hawapendi kuzungumza matatizo yao openly kama wanawake, hali hii hupelekea wengi wao katika umri wa kati ya miaka 45- 60 kupatwa na magojwa mbali mbali kama shinikizo la damu
 
Hakuna kitu kinacho itwa utafiti usio Rasmi kwenye ulimwengu wa kitaaluma (academics). Hizo ni hisia zako coz huwezi kuwa na variable zisizo Rasmi.
Nimekuelewa, haya twende kwenye hoja wewe mtazamo wako upo vipi? He no kweli life span ya wanaume ni fupi na kama kweli unahisi sababu ni nini?
 
1.Shughuli za kutafuta mkate wa kila siku zinaweka kwenye risk e.g. ajali,kuanguka ghorofani,kuliwa na wanyama etc

2.Kibailojia mwili wa m/me una stored less energy compared with m/ke na hauhitaji nguvu nyingi na ndio maana m/ke anaweza kukaa wiki Bila kula akasurvive,kwahiyo tukipigwa na ugonjwa ni rahisi kurudisha number.

3.Mfumo wa maisha,life style mapombe kwa sana,chapisha sana bandika bandua daily hata maralia ikiwa kimanzichana kwa kuchapa daily lazima utaivuta hadi mkuranga fasta,mipombe mikali inaua cells,misigara,midawa ya kulevya,fanya takwimu simple nenda bar angalia idadi ipi ni kubwa kiumeni au kikeni?
 
Wakuu,

Kuna utafiti usio rasmi ya kwamba maisha (life expectancy) ya mwanaume ni mafupi kulinganisha na ya mwanamke.

Kama huu utafiti una ukweli ndani yake, je nini kinaweza kuwa chanzo cha wanaume kuwa na maisha mafupi?

Ni kwa sababu tunaishi maisha hatarishi au ni mipango ya Mungu? Kuna wanaosema duniani wanawake ni wengi kuliko wanaume, je hiyo nayo imechangiwa na short life expectancy kwa wanaume?

Nimejaribu kujifanyia research ndogo mimi mwenyewe nimegundua yafuatayo;

1.Mama mzazi- Mzima
2.Bibi mzaa mama-Mzima
3.Bibi mzaa baba-Mzima
4.Baba- amefariki R.I.P
5.Babu mzaa mama-amefariki R.I.P
6.Babu mzaa baba-amefariki R.I.P

Hiyo ni kwa upande wangu, vipi kwa upande wako mwanajf matokeo yakoje?

Je nini tufanye wanaume tuongeze uhai?

Kumbuka hata baba wa Taifa ametutoka Mungu amrehemu lakini mama wa taifa tunashkuru bado tupo naye.
Kuna ukweli kiasi kikubwa. Lakini kwa utafiti usio rasimi unaonesha "tamaa za mali kwa wanawake " pia zina changia kuhatarisha maisha ya wanaume.

Nayo imekaa hivi, pale mwanamke anapohisi kuletewa mke mwingine. Anaingia tamaa na kuona mgawano wa rasili mali hatoshiba.

Hivyo wengi wanawapoizon au kutoa pesa wavamiwe ili ionekane ni bahati mbaya.

Thats why one man in one book (kigunda) doesnt trust a woman as she is your closest friend and worst enemy.
 
Kuna ukweli kiasi kikubwa. Lakini kwa utafiti usio rasimi unaonesha "tamaa za mali kwa wanawake " pia zina changia kuhatarisha maisha ya wanaume.

Nayo imekaa hivi, pale mwanamke anapohisi kuletewa mke mwingine. Anaingia tamaa na kuona mgawano wa rasili mali hatoshiba.

Hivyo wengi wanawapoizon au kutoa pesa wavamiwe ili ionekane ni bahati mbaya.

Thats why one man in one book (kigunda) doesnt trust a woman as she is your closest friend and worst enemy.
nimekupata mkuu
 
Kuna wakati ambapo Bibi yangu alikuwa na Bibi yake.

Mimi namwita Bibi na yeye anamwita mtu mwingine Bibi, Mama yake yupo hadi leo.....Mababu kasoro mmoja walishalamba vumbi.

Wanaume wengi wanakufa haraka sababu ya ngono, ulevi, mihangaiko ya maisha.....[Vizinga + ndoa:):):)]
 
Sababu kubwa Ni KUOA . mwanaume akioa muda wake wa kuishi unapungua haraka sana. Coz maswaibu ya mule yanamuumiza mwanaume zaidi kuliko mwanamke coz hatulii so inatula ndani kwa ndani
Duuuh!!
 
Kwa sababu tumepunguzwa mbavu na wakapewa wao wanawake..


Stress wanazotupa ndiyo chanzo pia..
 
Back
Top Bottom