Head teacher JF-Expert Member Mar 10, 2012 1,796 411 Jul 12, 2012 #3 Dah, kwa hiyo jamaa wanywa gongo kama pale kigogo mbuyuni...
Arvin sloane JF-Expert Member Jul 18, 2011 996 203 Jul 13, 2012 #6 Hivi hii laptop imeharibika au ni post yako?
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,393 Jul 13, 2012 #8 Ha ha ha ha haaaaaaa.......Hii hata mimi ishanitokea......... Kumbe hata hizi kompiyuta huwa zinapata stress........
Ha ha ha ha haaaaaaa.......Hii hata mimi ishanitokea......... Kumbe hata hizi kompiyuta huwa zinapata stress........
Kaitampunu JF-Expert Member Nov 24, 2011 1,991 772 Jul 13, 2012 #9 Kweli mnapachukia msoga! Si mchezo.
Royals JF-Expert Member Nov 19, 2011 1,466 378 Jul 14, 2012 #10 huyu jamaa kaandika kwa kutumia lugha ya mkulu wetu au ni ajali kazini?
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jul 14, 2012 #11 nafikiri hicho ndicho alichokusudia kupost, na sisi ndio tunacoment kama hivi, wala mode usimpige ban wala kudlete post yake, ni uhuru wa kupost!
nafikiri hicho ndicho alichokusudia kupost, na sisi ndio tunacoment kama hivi, wala mode usimpige ban wala kudlete post yake, ni uhuru wa kupost!