Maisha ya leo,na ya kesho((( )))??

Eliezar Mlwafu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
449
Reaction score
140
Vifo vya kushitukiza duniani vimeenea,Leo alikuwa mzima kesho tuaambiwa kafa.Ukimuona kwenye jeneza utadhani ataamka, Mtu na afya yake kaburini anakwenda,Jiulize ndugu yangu ukifa leo utakuwa mgeni wa nani ??
 

Attachments

  • 1393671783559.jpg
    16.8 KB · Views: 214
Tafakuri jadidi.
Mwe...!
 
lazima tubadili tabia na mienendo yetu
 
Ujumbe mzuri sana, umetufikia
 
Vifo vya kushitukiza duniani vimeenea,Leo alikuwa mzima kesho tuaambiwa kafa.Ukimuona kwenye jeneza utadhani ataamka, Mtu na afya yake kaburini anakwenda,Jiulize ndugu yangu ukifa leo utakuwa mgeni wa nani ??

kitaa chetu sahv kinaongoza kwa misiba balaa
 
Kudadeki njia zenyewe haushikiliwi pakuelekea, ningekua mimi apo ningepita njia ya mkono wa kulia, ikigoma narudi huku nyuma nilikotokea, ikishingikana na hivyo natafuta kamkeka kangu napozi hapo njia panda!
Kushoto sendi, mweh!
 
Vifo vya kushitukiza duniani vimeenea,Leo alikuwa mzima kesho tuaambiwa kafa.Ukimuona kwenye jeneza utadhani ataamka, Mtu na afya yake kaburini anakwenda,Jiulize ndugu yangu ukifa leo utakuwa mgeni wa nani ??

Watu hatutaki kufikiria haya muda huyu tukiwa wazima, yatatuletea discomfort zisizokuwa za msingi katika maisha yetu. Tunatwanga tu kama rooho zetu zinanvyotutuma, halafu hayo ya peponi au motoni tutakutana nayo huko mbele kwa mbele.Roho zetu zinapotutuma kumchakachua Mungu tunamchakachua tu, mengine baadaye. Hii dunia we acha tu. Bora lakini umetoa hiyo picha kwenye post yako, angalau mtu anappoiona atapata muda wa kufikiria kitu
 
Mmmh inatisha...tumshukuru Mungu kwa huu uzima tulionao
 
kuna vishawishi vingi sana vya kuvunja amri 10...!

kesho jumapili jamani, tukatimize amri ya tatu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…