Maisha ya 'kitamthilia' yamemuharibia!

Wengine wanaigiza kabisa anafanya...ukimpa ndoa tu kila kitu Daaaaaaaadaaaaaaaaa Mpelekee baba maji ya kuoga...daaaaaaadaaaaa msongee baba ugali....daaaaaaaadaaaaaaa mnyoshee baba shati! Afu hg akiwa mke mwenza lawama kibao


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu hta youtube hapajui jaman! Kayataka tu
Mwanamke kwa mwaka unaongeza hata mapishi mapya mawili kwenye ubongo...

Ila mashoga nao huko whatsapp ukisema nafua kwa boyfriend unaambiwa unajiwaifu matiriorisha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point sanaaaa. I appreciate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, kuna mapungufu mengine ni ya kuelezana tu mtu unamuacha uliyekuwa nae miaka kumi kisa mtu kaja geto mafua mapazia daaah
 

Sijui imeandikwa wapi ety mwanamke ajue kupika kufua kutoa buibui ndio atakuwa mke bora ..mkuu mwambie bro ako atafute pesa zisaidie mambo kama ayo.

Mwanamke anakazi ya kumuheshimu mwanaume katika ndoa basi


It is never to late to begin. Start now
 
Kwa hiyo unataka kusema heshima tu! Inatosha. Kisa mnapendana kwa dhati and vitu vingine amvumilie!! Sikubaliani na wewe.
Kwenye mahusiano au ndoa kuna vitu vingi sana mwanamke anatakiwa awe navyo ukiachana na hiyo heshima! Haiwezekani uwe na mwanamke hajui kupika but kwa vile ana heshima then ukubali!! Never on earth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…