Maisha ya 'kitamthilia' yamemuharibia!

Tatizo wanawake siku hzi tunadanganyana sana kwenye hizi semina hizi
Et usifanye majukumu ya mke kwa mtu ambaye sio mumeo
Sasa atajuaje km unafaa kuwa mke km hujiongezi!
Kama ipo ipo tu
Kuna walosugua marumaru hawajaolewa
Na wapo waliofika wakanyoosha miguu wakaolewa
Kwanza mtu km unampenda kila unachofanya unafanya tu kwa mapenzi bila kuhesabu km mke au sio mke
Mnakula wote hata kupika hupiki???
Mnalala wote hata shuka ulizochafua hufui??
Mnakaa wote humo ndani ukienda...unakaaje sehemu chafu??.aagh jaman


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona watoto wa kike wapo hvyp ujue ht mama yao enzi zake alikuwa hvyo. Hiko kibinti bado hakijajitambua na inaonekana ht umri wake hajapevuka enough kuwa s'bodys wife. Amuache aendelee kula usichana, yeye aoe hiko kifaa kingne chenye nia ya kuolewa
 
 
Ukiona watoto wa kike wapo hvyp ujue ht mama yao enzi zake alikuwa hvyo. Hiko kibinti bado hakijajitambua na inaonekana ht umri wake hajapevuka enough kuwa s'bodys wife. Amuache aendelee kula usichana, yeye aoe hiko kifaa kingne chenye nia ya kuolewa
Mama yao ndio kachangia watoto kuwa hivyo. Nakubaliana na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anasoma boarding. Hakuwahi kupata muda wa kumchunguza hivyo vitu kwa muda huo. Kumbuka mwanafunzi atakujaje geto!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Okey, tutoe miaka ya sekondari. Amegraduate 2018 hii ina maana ameanza chuo 2015, hebu tuanzie 2016 walipoanza kukulana....kwa hiyo kutoka 2016 amekuja kugundua 2020 kuwa yuko hivyo?? Hata hivyo siamini eti unaweza usijue tabia ya mpenzi wako mnayewasiliana kwa karibu hadi awe amekuja nyumbani
 
Ukiona watoto wa kike wapo hvyp ujue ht mama yao enzi zake alikuwa hvyo. Hiko kibinti bado hakijajitambua na inaonekana ht umri wake hajapevuka enough kuwa s'bodys wife. Amuache aendelee kula usichana, yeye aoe hiko kifaa kingne chenye nia ya kuolewa
It's not always the case, wazazi wengine wanahisi kuwadekeza watoto ndio malezi ya kisasa
 
Umeongea mawazo yangu kabisaaa...eti mtu anasema siwezi kufua nguo za boyfriend kwani mume wangu huyo? My dear mbona chupi unavua kwani mumeo huyo? Fanya kwa mapenzi tu sio kwa lengo la kuonekana waifu matirio maana hapo napo ukiachwa utaumia ulivyokuwa unainamisha mgongo. Unafanya kwaajili yako mwenyewe usikae sehemu chafu au kuwa na mtu mchafu.
 
Ukiona watoto wa kike wapo hvyp ujue ht mama yao enzi zake alikuwa hvyo. Hiko kibinti bado hakijajitambua na inaonekana ht umri wake hajapevuka enough kuwa s'bodys wife. Amuache aendelee kula usichana, yeye aoe hiko kifaa kingne chenye nia ya kuolewa
Mis powers hata mashoga mnachangia sana kutowapa mafunzo marafiki zenu juu ya uhalisia wa maisha, nyinyi mnapokuwa pamoja mna discuss fashion na celebrities tu, hii ni Africa mwanamke bila ya kuwajibika kwa mume kwa mambo madogo madogo haitokuwa rahisi kuolewa. Mwezi wa November mwaka Jana rafiki yangu alipokea posa kwa mdogo wake, December ikawa harusi, tarehe 18 mwezi huu Demu karudi kwao na talaka, kuulizwa nini kasema nimeachwa sijui kupika Jambo ambalo rafiki yangu alilipigia kelele sana kwa mama yake dogo afundishwe kupika lakini hawakutilia umuhimu. Mwanaume anahangaika kutafuta mazaga, anarudi home anakuta umepika mataptap, aisee!!! Mambo hayo mtufanyie kama sisi twenye uvumilivu ila sio wengine asee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…