Dogo watu tumepiga PCB acha uvivu:Yahhh mi niko milambo boyz,ila Mazigazi unavyosema hama kombi unamaanisha nn mana itakuwa ni kitu cha kushangaza kidogo kwanza shule gan unahama comb ssiv,na kumbuka term ya kwanza ndo ishaisha sa sijakwelewa unamaanisha nn
Physics sitaki hata kuisikia. Ni kweli anatakiwa afanye bidii kama anauwezo wa tuition asome topic zote maana kwa mziki ule shule hata iweje hawawezi kumaliza topic zote labda kama wanaburuzwa. Ila pia ajue kabisa Phys ni nyoka wa mdoamdoa meupe na meusi. Yaana nani kaona nani hajaona. Mwisho wake huwa haujulijani hata kama unakesha unapiga tonicsKjn mwanaume alie jituma hashindwi
Watu tuliwai pata 7%ya mechanics nusura tukimbilie egm ila tulipo kaza tulichomoka we komaa
Math na chem simple make sure unakuwa nondo kila sector then physics ina wababe wake km sio mbabe choose topic za kukutoa na komaa nazo .utachomoka
Angalizo
Usiwekeze kwenye physics utachinjwa kifo cha boko haram
Mkuu umesoma Nsumba mwaka gani? Tujuane tafadhaliHawa ndo wale wa kubadilisha mahala pa S wanaweka X
E.g
Mtumishi> Mtumixhi
Sasa> Xaxa
Pumbafu kabisa...
anyway we wa Advance Masomo ya hio combination unayosoma je una msingi mzuri??Unayamudu vilivyo??Hayo ni mambo ya msingi ambayo ulipaswa kujiuliza kabla ya kuanza kusoma!!
Milambo naifahamu ni shule ya serikali Changamoto nazifahamu mf. Ukosefu wa waalimu hasa katika masomo yako...
misosi duni..
Mi nimesoma bweni (nsumba boys) pia katika shule za sekondari so naelewa mambo yalivyo..ningependa nikusihi tu Ondoa dhana ya Ugumu katika masomo hayo..pia jitume kusoma kwa bidii,,fanya sana group discussions ndo siri ya mafanikio huko ulipo,,Likizo jiimarishe kwenye Tuitions soma piga topics na uzielewe Mwisho wa Siku Mungu atakujalia utapasua...Jitume mtoto wa kiume,,Fight!!Kumbuka unapigania maisha yako na ya familia yako pia kwa baadaee usikate tamaa!!