Nelly Gerald
Member
- Nov 21, 2015
- 6
- 0
Dahh naombeni msaada ndugu zanguni,
Actually mimi ni mwanafunzi wa form 5 PCM (Milambo Men High School)
In short ni kwamba kila nikigusa kitu hakiendi mpaka nahisi kuchanganyikiwa maana kumbuka physics sio mziki mdogo na never hakunaga mkali wake. Pure maths. ndo hiyo inavuruga kabisa na ukiangalia malengo yangu ni kwamba ntakapoenda likizo nitapiga msuli mnene lakini mambo yamekuwa vice versa..
Naombeni saaaaanaaaa ushauri wenu guyz
Actually mimi ni mwanafunzi wa form 5 PCM (Milambo Men High School)
In short ni kwamba kila nikigusa kitu hakiendi mpaka nahisi kuchanganyikiwa maana kumbuka physics sio mziki mdogo na never hakunaga mkali wake. Pure maths. ndo hiyo inavuruga kabisa na ukiangalia malengo yangu ni kwamba ntakapoenda likizo nitapiga msuli mnene lakini mambo yamekuwa vice versa..
Naombeni saaaaanaaaa ushauri wenu guyz