Maisha ni Safari!

Maisha ni Safari!

Hongera sana..
Mimi hapo kwenye milioni 100 ukashindwa kuchomoa 10M ukizingatia hauna ajira na huo sio wizi unaamisha baadae ungemwambua mzee angeelewa tu.
Hiyo akili sikuwa nayo kabisa! Kuna wakati nilikuwa nalala na Hadi milioni Tano chini ya mto.... Sikuwahi kufikiria kuwa Kuna maisha baada ya ujenzi!! Na mshua kama asingeingilia kunipa mtaji... Aisee sijui ingekuwaje!
 
Possible bi.mkubwa alizindua. Shukuru Mungu, Baba Yuko imara na anajali.
 
Nzuri sana, dingi yako ni mtu na nusu sema nini wewe jamaa ni familia ya mboga sabini
 
Possible bi.mkubwa alizindua. Shukuru Mungu, Baba Yuko imara na anajali.
Ndugu yangu mambo yalikuwa mengi Sana! Of course bi mkubwa Kuna eneo alizingua kinoma noma pia mshua Kuna namna alikuwa blinded, hakuona uhalisia wa picha inayoendelea! Na bahati mbaya watu ambao walikuwa karibu naye (ndugu zake) ndio waliokuwa wanaweka petrol kwenye moto! Ila saa hizi kajua mbivu na mbichi!
 
Nzuri sana, dingi yako ni mtu na nusu sema nini wewe jamaa ni familia ya mboga sabini
Hahahaha sio mboga sabini ila angalau tunakula tunachotaka sio tunachopata! Saa hizi ndio najua kumbe kuweka msosi mezani sio shughuli ndogo aisee!
 
Back
Top Bottom