Hivi maisha ni nini?
Maisha yana maana gani?
Mtu akifariki huwa anaenda wapi? Anapotea moja kwa moja au pumzi yake inajazwa kwa kiumbe mwingine anayezaliwa?
Siku ya kiama tutasomewa hukumu zetu duniani au mbinguni? Kama ni mbinguni si tayari tutakuwa tumemuona Mungu?
Mwenye uelewa naomba ufafanuzi.