Janeting
Member
- Feb 20, 2018
- 40
- 80
Hivi maisha ni nini?
Maisha yana maana gani?
Mtu akifariki huwa anaenda wapi? Anapotea moja kwa moja au pumzi yake inajazwa kwa kiumbe mwingine anayezaliwa?
Siku ya kiama tutasomewa hukumu zetu duniani au mbinguni? Kama ni mbinguni si tayari tutakuwa tumemuona Mungu?
Mwenye uelewa naomba ufafanuzi.
Maisha yana maana gani?
Mtu akifariki huwa anaenda wapi? Anapotea moja kwa moja au pumzi yake inajazwa kwa kiumbe mwingine anayezaliwa?
Siku ya kiama tutasomewa hukumu zetu duniani au mbinguni? Kama ni mbinguni si tayari tutakuwa tumemuona Mungu?
Mwenye uelewa naomba ufafanuzi.

.Mpaka pale organ hiyo itasimama mazima (kufa).Mtu akifa ndo kafa. Hakuna sijui cha uhai wake kuja kupewa kiumbe mwingine. There is a thin line between life and death. Kuzaliwa ni majaliwa,kufa ni lazima.