Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,806
Habari JF
Maisha ni kama mchezo, kuna mambo ukizingatia utafanikiwa vibaya mno
Ila usipozingatia utaangukia Pua.
Kwenye maisha kuwa makini na mambo haya
1.Amini Sana Mungu, Ila jiongeze uchawi upo na unatenda. Jitahidi kuweka kinga ya ziada kwenye biashara kazi nk.
2. Mahusiano.
Aisee hora uwe single kwa muda mrefu kuliko kuwa na mtu asie sahihi..kitu kingine kinachofelisha watu ukiacha uzumbe ni mahusiano(mke sahihi)
3.Nidhamu ya fedha
Hata tena ni kajambo ka kuzingatia sana.jifunze sana kupitia semina na vitabu mbalimbali.
4. Kuweka Malengo.
Jitahidi sana kuishi kwa Malengo, utakuwa na concentration kwenye maisha yako.
5. Afya.
Jenga Tabia ya mazoezi iwe sehemu ya maisha yako.
6. Uwekezaji
Aisee anza kuwekeza hata UTT Amis taratibu tena ikibidi kuwa na chanzo cha mapato zaidi ya kimoja.
7. Cheza na muda.
Ujachelewa Ila muda unao kabisa ila usikubali kupoteza muda kwenye jambo la kijinga.
Ukizingatia Hayo mambo kwa undani huwezi kufa masikini.
#umri sio akili.
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Maisha ni kama mchezo, kuna mambo ukizingatia utafanikiwa vibaya mno
Ila usipozingatia utaangukia Pua.
Kwenye maisha kuwa makini na mambo haya
1.Amini Sana Mungu, Ila jiongeze uchawi upo na unatenda. Jitahidi kuweka kinga ya ziada kwenye biashara kazi nk.
2. Mahusiano.
Aisee hora uwe single kwa muda mrefu kuliko kuwa na mtu asie sahihi..kitu kingine kinachofelisha watu ukiacha uzumbe ni mahusiano(mke sahihi)
3.Nidhamu ya fedha
Hata tena ni kajambo ka kuzingatia sana.jifunze sana kupitia semina na vitabu mbalimbali.
4. Kuweka Malengo.
Jitahidi sana kuishi kwa Malengo, utakuwa na concentration kwenye maisha yako.
5. Afya.
Jenga Tabia ya mazoezi iwe sehemu ya maisha yako.
6. Uwekezaji
Aisee anza kuwekeza hata UTT Amis taratibu tena ikibidi kuwa na chanzo cha mapato zaidi ya kimoja.
7. Cheza na muda.
Ujachelewa Ila muda unao kabisa ila usikubali kupoteza muda kwenye jambo la kijinga.
Ukizingatia Hayo mambo kwa undani huwezi kufa masikini.
#umri sio akili.
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app