bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 Nov 30, 2013 #3 Ukisoma atakuchapia nani kitu kuoa ili waliotoa mchango baadhi wapate kukuchapia...nyambaaafuuuuu!
kadakokigondile JF-Expert Member May 17, 2013 1,872 634 Nov 30, 2013 #4 Mimi namchangia msomi anaweza kuja kuwa daktari akanitibu, lakini muuoaji sina imani nae maana atafaidi peke yake labda kama atakuwepo na msaidizi wake pembeni
Mimi namchangia msomi anaweza kuja kuwa daktari akanitibu, lakini muuoaji sina imani nae maana atafaidi peke yake labda kama atakuwepo na msaidizi wake pembeni