Maisha nchini Namibia

Uko sawa siunaona hata wewe umejikalia tu lumumba kusifu na kuabudu ilimradi upate chochote. Kuwaza fursa hiyo akili utatoa wapi zaidi ya kusifia wakenya?
 
Watanzania wakisafiri huwa kazi kupiga piga mipicha ya selfie huwa hawasaki fursa . Tofauti na wakenya

Ndio tatizo la watanzania si wasanii wala nani wote bado wana ka-ushamba flani hivi, mtu anajipiga selfie anapost instagram/Facebook kama sio ushamba ni nini! Simu lenyewe kubwa ka tofali mwenyewe anaona kawaidaaa 😁😁

Kwenye ndege pia ivyo ivyo sometimes mpaka unaona aibu kwa wageni.
 
Uko sawa siunaona hata wewe umejikalia tu lumumba kusifu na kuabudu ilimradi upate chochote. Kuwaza fursa hiyo akili utatoa wapi zaidi ya kusifia wakenya?

YEHODAYA yuko sahihi, watanzania sio watafutaji wala watu wa kazi. Mmeendekeza sana starehe mkuu. Ebu badilikeni bwana, hasa watu wa Dar lelemama mno wengi wao watoto wa maza hawapendi kujishughulisha.
 
Ku export watalaam kunaingiza pesa za kigeni kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ku export watalaam kunaingiza pesa za kigeni kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo pesa siyo nyingi kiivyo, ukilinganisha na pesa iliyotumika kuwasomesha. Fikiria kwa mfano, kwenye janga la Corona, wataalamu ambao wangetengneza kinga wapo nje, kunafaida gani kutuma vijisenti wakati watu wanapoteza maisha.
 
Nimekupenda bure.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…