kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,883
- 2,786
Uko sawa siunaona hata wewe umejikalia tu lumumba kusifu na kuabudu ilimradi upate chochote. Kuwaza fursa hiyo akili utatoa wapi zaidi ya kusifia wakenya?Sio kweli wakenya na wa Nigeria nchi yeyote akienda cha kwanza ni kuangalia fursa.Sio sehemu za burudani na pombe ziko wapi.Ndio maana wako wengi nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania.Ujue uwingi nje unawaletea pesa nyingi za kigeni . Watanzania kutokuwa wengi nje tunakosa pesa za kigeni kupitia wao.Kujazana tu ndani ya nchi sio sifa . Nigeria na kenya ndizo zinaongoza Africa Kwa kuvuna pesa nyingi za kigeni kupitia diaspora .Nchi ya kwetu ni kiduchu.Mkenya na mnigeria hata atembelee nchi siku mbili swali lake kubwa kuna fursa gani akajipange au awapelekee kwao