komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 907
- 1,368
Acheni kuwa na mawazo mgando, binafsi kama tungeweza kurudisha nyuma siku hata sitamani hao wazungu na waarabu warudi Africa, waafrika tulikuwa na viwanda vyetu na tuliishi vizuri sema walivyokuja wakaaribu kila kitu chetu, uchumi uripolomoka, mila na desturi zetu zilipotea. Now hatuna chochote cha maana zaidi ya kuendelea kuwategemea hao watu weupe tena kwa masharti kibao wakati asilimia kubwa ya utajiri wao umetokana na waafrikasisi wajerumani walitutawala kwa muda mfupi sana baada ya wao kushindwa na waingereza vita kuu ya pili ya dunia wakanyang'anywa koloni na waingereza.
Namibia Wajerumani walikaa miaka mingi zaidi.
I wish tungetawaliwa na wajerumani tungekuwa wachapakazi sana