Kuolewa au kudate single daddy kuna vihunzi vya kupitia. Mama watoto atakuona wewe ni kizingiti cha furaha vya watoto wake.
Wapo wengine wanaunda urafiki na mama watoto. Hapa mtakuwa na yapi ya kuongea zaidi ya kumwongelea mwanaume?
Bado ule u malaika wa watoto, wakifika kwa mama yao wanzmhaduthia kila ulichowafanyia. Sasa hapo aambiwe aunt Sky anapiga chapati tamu mama tupeleke Jumamosi.
Wengive mali handle vipi date/ ndoa na single daddy?
Mkuu ukishafika 35+ kama uko single, nafasi ya kukutana na aliye acha mke au kufika na jua huwa watoto ni kubwa. Ninajiandaa.
Uwage unaanzisha thread nasi tuchangie! tangu umejiunga jf una nyuzi moja tu! but kwa kuchangia,nakutunuku vyeo...Leo madam umechapia muite mumeo akusaidie kuedit
Ukisha kuwa mke anakuwaje single Daddy tena??!Mke/girl friend wa single daddy, ninaongelea vihunzi tunavyopitia kutoka kwa mama watoto
Kweli kabisaMkuu wengine wanakuwa wameachana kwa yao miaka na miaka lakini wakisikia baby father ana date kasheshe linaanzia hapo.
Hivi kwa nn haswa?Mkuu wengine wanakuwa wameachana kwa yao miaka na miaka lakini wakisikia baby father ana date kasheshe linaanzia hapo.
Si woteusidate ma single daddy mwaya,wanaonaga kila kitu wanaweza,ukiingia jikoni yupo,ukiwaogesha watoto yupo,very intimidating
Mi cjaelewa hata MOJA aseeeeeee😱😱🙂🙂Kuolewa au kudate single daddy kuna vihunzi vya kupitia. Mama watoto atakuona wewe ni kizingiti cha furaha vya watoto wake.
Wapo wengine wanaunda urafiki na mama watoto. Hapa mtakuwa na yapi ya kuongea zaidi ya kumwongelea mwanaume?
Bado ule u malaika wa watoto, wakifika kwa mama yao wanzmhaduthia kila ulichowafanyia. Sasa hapo aambiwe aunt Sky anapiga chapati tamu mama tupeleke Jumamosi.
Wengive mali handle vipi date/ ndoa na single daddy?
hiki ndicho nilichoelewa!
Kweli tupuusidate ma single daddy mwaya,wanaonaga kila kitu wanaweza,ukiingia jikoni yupo,ukiwaogesha watoto yupo,very intimidating
Hiyo ID ni Chumchang Changchum ?! Nimesoma vizuri?Hivi kwa nn haswa?
Rafiki ni kwa nini umri ukishaenda huwa mnatoa papuchi kirahisi sana?Mkuu ukishafika 35+ kama uko single, nafasi ya kukutana na aliye acha mke au kufika na jua huwa watoto ni kubwa. Ninajiandaa.
Hongera sana mkuu. Sasa ukutane na wale come and we stay baada ya kupata watoto mama anagugundua kuwa wanaume wenye mkwanja mrefu wanampenda zaidi. anaacha watoto na kukimbilia kwenye change.Single parents wa kuoa/kuolewa nae.
1.Baba/mama wa mtoto/watoto awe amefariki.
2.Baba wa mtoto aliikataa mimba na kutokemea kusikojulikana yaani hana habari na mama wala mtoto.
Ukipata wa hivyo na kumchukulia mtoto/watoto ni kama wako mwenyewe hapo utafurahia Maisha na kujiona hakuna mwenye Babati duniani kukuzidi wewe.
Mimi nimempata namba mbili yaani napendwa mpaka naogopa.
Mke wangu alikutana jamaa chuo huko yeye akiwa mwaka wa Pili na jamaa mwaka wa tatu wakiwa vyuo viwili tofauti,mwanamke Morogoro na mwanaume Dar. Jamaa akalamghai kwamba anataka kumuoa na kudate siku moja tu na mimba akanasa. Jamaa kupewa taarifa Nina mimba yako akaikataa na kumblock demu katika njia zote za mawasiliano.
Chuo alichokuwa anasoma demu sheria ni Kali yaani ukipata mimba unafukuzwa chuo(MUM) na pia ametoka familia ya dini sana kiasi kwamba hakuweza kuwaambia nyumbani kwamba amepata mimba isiyokuwa na baba. Ikabidi aendelee na chuo huku akiificha mimba hapo chuoni na nyumbani kwao mpaka alipojifungua na baada ya wiki moja akampeleka mtoto kwenye kituo cha kulelea watoto yatima.
Nimekutana nae Mimi ananipa hiyo story hata kwao hawajui kama ana mtoto yaani yupo frustrated, nikapeleka posa kwao na kumuoa na miezi kumi baada ya kumuoa tukaenda kumkomboa huyo mtoto akiwa na miaka mitatu kamili. Kitoto cha kike kirembo.