Baada ya wengi kukosa kazi zinazoendana na elimu au ujuzi wao wameingiza hiyo motivation kuwa sehemu ya kuwapa kipato, ni sawa na wale wanaofundisha mambo ya ndoa wakati ambapo mafunzo yao ndiyo yanaongoza kusababisha ndoa kuparaganyika.
NDOA haina elimu that's why cheti kinaanza na elimu mnajifunza mkiwa wawili mpaka uzeeni.