Maisha mazuri na kipimio chake.

Maisha mazuri na kipimio chake.

Shobi

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
3,401
Reaction score
4,389
Kumekuwa vitu vinayochosha aina binadamu kuanzia anapojitambua mpaka kufa kwake jambo kuu ni lile linatajwa natafuta maisha mazuri.
watu watelekeza familia, wamepata magonjwa na hata kufa wakitafuta maisha mazuri
Je maisha mazuri ni nini?
Kipimo chake ni kipi?
Je kuna binadamu amewahi kukifikia?



ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom