nanchi
Member
- Jan 29, 2012
- 66
- 7
Ndugu zangu watanzania,maisha yamekua magumu dodoma kwa wabunge na mawaziri pekeyao, au hata na wafanya kazi na wananchi wote kwa ujumla?naona wabunge wameboresha mishahara yao kwa kuongezeana posho. Vipi kwa jeshi la polis,walimu wetu,wanajesh,mad,aktar,manesi,mikopo kwa wakulima wadogo,mikopo kwa machinga,hebu tusaidiane majibu kwa wale mnaolifahamu hili suala kwa undani zaidi.